hahaa,kina mama wengi watabadilika sana kupitia muongozo wa huyu mama......Malkia wa Umasaini
Jay One ni kweli mkuu, unadhani kama kiongozi huku nyumbani anamuhofia Babu S......ya na nje ya nyumba " wanawake na Maendeleo tufanyekazi tusonge mbele ¥√ eee!" Kweli atakuwa na mawazo yaliyotulia kuleta Maendeleo au naye atageuka wa mipasho tuu na kuzurura?NDIO maana Lowassa ni TAJIRI... sbb huyu mama Regina ni MAMA KWELI KWELI.... mzee Lowassa hana PRESSURE KABISAAAAA, MUDA WOTE ANAWAZA MAENDELEO.... Mwanamke ndio kila kitu ktk MAFANIKIO YA MUME WAKE....!!!
Huyu mama, MUNGU aampe MAISHA MAREFU NA FANAKA duniani...!!!
Mama Regina, ww ni MFANO mkubwa sana wa kuigwa...kwa wanaume na wanawake wote...!!!
ASANTE sanaa mama...!!!
wacha lowassa awe tajiri coz huwezi kuwa na mwanamke mwenye akili kama huyu ukawa masikini hawa ndo walifaa kuwa walimu wa shule zetu si kama wakina mrs........... na mrs................
HAHAHAHAHAHAHAHAHAH umepata mupatie zawadi huyusio kama Mrs magufuli na Mrs kikwete.....
Mama la Mama, Regina Lowassa, jana alikuwa na mkutano wa ndani na akina mama wa Bukoba mjini. Akina mama hao walifurika kupita maelezo kumsikiliza Mama Lowassa jana pale Bukoba na leo Lowassa atakinukisha jioni hii pale Bukoba Mjini.
View attachment 288443
ama kweli duni kaingizwa mjini. Naona regina anapewa promo kuliko hata duni. Masikini cuf na duni wao aliyejivika uchadema feki.
Namuonea huruma mwanacuf yeyote anayeshangilia chama lake kufa
Mama anapiga kazi mchana na usiku, safi sana first lady wetu
Huyu mama alikuwa na nafasi nzuri sana ya kumuepusha mumewe dhidi ya udhalilishwaji unaondelea. Lowassa amegeuzwa 'cash cow'bila kujali hali ya afya yake. Wajanja wanam-keep busy huyu mama huku wakiendelea kumdunga sindani ili azma zao zitimie! Siku atashtuka nini kinaendelea itakuwa too late!
Itakuwa too late kwako kwasababu wakati unatoa tongotongo tayari watakuwa magogoniHuyu mama alikuwa na nafasi nzuri sana ya kumuepusha mumewe dhidi ya udhalilishwaji unaondelea. Lowassa amegeuzwa 'cash cow'bila kujali hali ya afya yake. Wajanja wanam-keep busy huyu mama huku wakiendelea kumdunga sindani ili azma zao zitimie! Siku atashtuka nini kinaendelea itakuwa too late!
Mbona mi naona watoto no viongozi wa chadema tu, hapa akina mama wako wapi?