Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,997
- 103,382
Gas wa weke kwenye mitungi wakauze nje ya nchi serikali ipate kodi ya Dollari.
Gas inayochakatwa hadi sasa hapa nchini sio ya mitungi. Ili iwezekane hiyo ya mitungi ni lazima kiwanda cha LNG kijengwe. Na hicho kiwanda cha LNG ndio hicho kimejaa porojo.