Alichohoji Profesa Muhongo ni kama bei ya umeme itakuwa nafuu kuanzia siku ya kwanza au baada ya kurudisha gharama za uwekezaji?

Gas wa weke kwenye mitungi wakauze nje ya nchi serikali ipate kodi ya Dollari.

Gas inayochakatwa hadi sasa hapa nchini sio ya mitungi. Ili iwezekane hiyo ya mitungi ni lazima kiwanda cha LNG kijengwe. Na hicho kiwanda cha LNG ndio hicho kimejaa porojo.
 
Aaah wap..!!I am not taking it,yule ndimi mbili kweli kweli,Mara ooh Maendeleo hayana vyama,na hapo hapo anasema kwamba mkichagua upinzan sitaleta Maendeleo hapa,au ananunua wabunge upinzan na kuwaleta ccm kisha anapeleka Maendeleo huko alikowatoa,Hana maana yule
wapinzani ili iweje. Yeye alikuwa na kipaza sauti na sisi tuna masikio. Kwahiyo tulikuwa tunapa dozi moja kwenda nyingine
 
Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.

Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.

Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?

Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.

Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele

CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
Ukitaka kujua dunia iko mwisho ni pale ukutapo "wapumbavu wakitoa hoja dhidi ya mweledi na wakashangiliwa..."
 
Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.

Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.

Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?

Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.

Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele

CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
Ndugu zangu, kwa kipindi kirefu sana tumekuwa tunawaachia wanasiasa watoe ufafanuzi hata kwa mambo ambayo kitaaluma na kiuzoefu hawana weledi wa kutosha.
Kupitia jukwaa hili naomba nitoe wito kwa wanajamvi hili tuwe tayari kuelimisha wengine yanapojitokeza masuala mtambuka kama hili la Power Generation kwa kutumia njia mbalimbali kama maji, mafuta, jua, nk. Kwa kufanya hivi tutapunguza malumbano yasiyo na tija na upotoshaji ambao wanasiasa wanaweza wasijali as long as upotoshaji huo ni neema kwa upande wao.
Naandaa maelezo ya kitaalamu yahusuyo Electrical Power Generation, Transmission, Distribution and Utilization. Sambamba na hilo nitagusia kinachodetermine bei ya umeme kwa watumiaji, njia sahihi za kufanya makadirio ya mahitaji ya mbeleni, nk.
 
Yule professor ni wa hovyo sana na hana aibu, aliwahi kudhihaki wawekezaji wa ndani kua wana mitaji ya pipi hawawezi kuwekeza kwenye gas. Dunia nzima ina encourage wawekezaji wa ndani yeye anatukana

Wasomi wa nchi hii wengi ni vilaza na wamekariri madesa, hawana akili. Ndio maana akina msukuma wapo huru, wameona mapungufu
 
Kuna wanasiasa naona wanatumika kuwa kama mashionari..

Hiyo Phd ya Muhongo Mimi sina lakini nina mashaka nayo kwakweli..

Ipo hivi gharama za mwanzo za ujenzi wa mradi umeme wa maji siku zote Huwa juu kutokana na kuchukua eneo kubwa tofauti na mradi wa umeme wa gesi(Yani kwenye ujenzi)..

Lakini tukija kwenye gharama za uendeshaji zinakuwa ni kama sifuri Yani kwenye hesabu Huwa tunasema (the value can be neglected kutokana na faida kuwa kubwa kuliko gharama za uendeshaji) hapa ndipo tunapo pata faida yake, tukumbuke mvua hailipiwi ni bure kabisa na vilevile umeme wa maji ni moja ya vyanzo umeme ambavyo havichafui mazingira kwa kuongeza gesi ya ukaa(Carbondioxide) vilevile hudumu miaka mingi mfano tuangalie bwawa la mtera..

Sasa tukija kwenye umeme wa gesi.. bila hata kuambiwa wote tunajua gharama ya gesi ilivyo juu ukiona gesi unaungua ujue ni pesa tunaunguza.. na hapo tukumbuke kwenye mradi wa gesi tulishapigwa nchi yetu haita faida pakubwa kwenye uuzwaji wa hiyo gesi kuzalisha umeme..

Sasa hapo tujiulize hao wanaopinga huu mradi wapo kwa maslahi ya nani..??

Mi nadhani wataanzania pamoja na Hayati kuwa na mapungufu yake.. alitufungua akili lakini pia kila maamuzi aliyofanya yalikiwa ni kwaajili ya hii nchi yetu tuwe makini sana.View attachment 1751169
Ulisikiliza vizuri mchango wa Muhongo?

Ukiacha upotoshaji unaofanywa,Muhongo alitoa mchango mzuri sana hususani katika suala la madini,halafu akazungumzia kwa ufupi sana suala la hydropower,wala hakuponda mradi wa JNHP,alichosema hydropower,kutokana na mabadiliko ya tabia nchi,haziaminiki na uwekezaji wake ni mkubwa mno ukilinganisha na gesi.
 
Hoja dhaifu mno kutoka kwa Prof! Kwani kuna mradi gani ambao ukikamilika hatutowajibika kulipa gharama?

Nilitegemea maprof kama hawa ndio wangekuwa watetezi wa kuwekeza kwaajili ya vizazi vijavyo! Hawa wazee wameshikwa na ma lobbyists walambe 10% zao na vizazi vyao na si Watanzania kwa ujumla.
Niliona mahali kuwa trillion almost 3 hivi zingewezesha kupata MW nyingi zaidi ya bwawa la Nyerere. Kurudisha Trilliln 3 ni karibu zaidi kuliko kurudisha trillion 10 za bwawa la Nyerere hivyo kimahesabu wananchi wangepata nafuu ya umeme mapema zaidi kwa chanzo cha gesi kuliko hiko cha bwawa la Nyerere.

Kwa mfano labda kurudisha gharama ya uwekezaji kwa bwawa la Nyerere yaweza kuwa miaka 15 lakini kwa chanzo cha gesi pengine ingekuwa miaka 5 na huku ukiwa umepata MW nyingi zaidi ya zile za bwawa.
 
Ukitaka kujua dunia iko mwisho ni pale ukutapo "wapumbavu wakitoa hoja dhidi ya mweledi na wakashangiliwa..."
Duu!

Umetema madini ya hatari! Mungu akubariki.

Jambo la kusikitisha ni,tangu walipojaza hao darasa la saba bungeni,wajinga wameongezeka sana nchi hii. Hivyo,mwerevu akitoa hoja hawaelewi kabisa!

Halafu,jambo la kushangaza,hao darasa la saba serikali ya Magufuli iliwaomdoa serikali hata kwenye kazi za chini kabisa kama umesenja na udereva. Lakini wakajazwa bungeni,ili washabikie hoja za kijinga za kubeza mawazo ya wenye akili!
 
Muhongo ana bahati mbaya sana na siasa za CCM na Tanzania kwa Ujumla, anachosahau ni kwamba Waafrika ni Wanafiki, hawapendi kuambiwa ukweli ila wanapenda sifa za kijinga na kipumbavu, hao la saba c sifaham kama wanajua lolote kuhusu umeme ama wamewahi fanya tafiti yoyote lkn ndio Think Tanker wetu yaani wanaonekana na uwezo mpaka wa ku mu outsmart Mtafiti na Mbobezi, haya twende na la saba tutafika tu
 
Muhongo ana bahati mbaya sana na siasa za CCM na Tanzania kwa Ujumla, anachosahau ni kwamba Waafrika ni Wanafiki, hawapendi kuambiwa ukweli ila wanapenda sifa za kijinga na kipumbavu, hao la saba c sifaham kama wanajua lolote kuhusu umeme ama wamewahi fanya tafiti yoyote lkn ndio Think Tanker wetu yaani wanaonekana na uwezo mpaka wa ku mu outsmart Mtafiti na Mbobezi, haya twende na la saba tutafika tu
Yaani ni mambo ya ajabu kabisa!

Halafu spika anashabikia huo ujinga! Wasiojua abc yoyote katika sekta ya nishati kumdhalilisha mtaalamu na mtafiti ambaye ana current information za industry!
 
Hilo bwawa si linajengwa kwa fedha za ndani? Ikiwa ni hivyo basi from day 1 bei yake inaweza kuwa ndogo na nafuu kama inavyotarajiwa halafu faida kubwa itapatikana kutokana na jinsi ambavyo unafuu wa hiyo bei ya umeme itakavyochochea maendeleo na uwekezaji zaidi ktk sekta nyingine. Na hapa naamini ndio dhana ya kutumia fedha za ndani ilipo.
 
Prof. Muhongo ametoa hoja kisomi achana na wengine wa darasa la saba wanaopayuka hovyo.
 
Ulisikiliza vizuri mchango wa Muhongo?

Ukiacha upotoshaji unaofanywa,Muhongo alitoa mchango mzuri sana hususani katika suala la madini,halafu akazungumzia kwa ufupi sana suala la hydropower,wala hakuponda mradi wa JNHP,alichosema hydropower,kutokana na mabadiliko ya tabia nchi,haziaminiki na uwekezaji wake ni mkubwa mno ukilinganisha na gesi.
Bado ni pumba tu.. kwani umewahi sikia panakauka maji kule?

Yani mradi ulipofikia sahivi ni wa kutoa hoja kama hiyo kweli??..


Kuhusu mabadikiko ya hali ya hewa si angeshauri misitu iliyozunguka eneo husika ilindwe??..

Kwanini alete hoja ya gesi huku akijua kwenye gesi hatutopata kitu?..
 
kwa hiyo bwawa likianza kutumika, umeme utapanda bei kufidia hiyo investment cost?
Investment inalenga

1.,Umeme wa uhakika

2.Umeme wa kuuza nje

3.Gharama za umeme za sasa ndio basis ya kuweka ukubwa na kujua lini litakuwa limelipa

4.Uhakika wa umeme unapeleka kuwa na same rates kwa miaka mingi sana....

Swali la Prof ni la kijinga kwa umri wake na elimu yake

wewe hapa hauwezi kujibu; kamuulize prof
Hivi hata umeweza kupata 'mantiki' ya swali lake ? Umeelewa msingi wa hoja yake ?
 
Kuna yule dogo aliyeitwa njuka na mdee, kuna huyo kibajaji, kuna msukuma,, huku speaker na pm wakifurahia ,,lakini maneno yao yanambeza mama yetu moja kwa moja.
Mama achukue hatua za haraka,, la sivyo wataendelea kumtaka afate nyayo za jpm.
Japo moja ya nyaoyo za jpm ni kuwananga watangulizi wake. Ila naona kuna vijitu vinataka kumcontroll mama. Avichape hivi ili wengine washike adabu zao.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.

Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na utafiti lakini siyo siasani hasa Bungeni.

Imenibidi nifuatilie kujua huyu Muhongo anayeshambuliwa ameongea nini?

Kumbe Muhongo hajasema umeme wa maji mbaya bali inachukua muda mrefu sana kurejesha gharama ndio akahoji labda kama bei nafuu itaanza kutumika day one bila kujali pay back period.

Mantiki yake ni kuwa bei inaweza kuwa kubwa hadi mradi utaporudisha gharama zake, ambayo huwa ni miaka mingi mbele

CCM mko peke yenu bungeni hakuna wa kumsingizia.
Mkuu..hiyoo mantik wewe umeipatia wapi? Wakat yeye alisema waz waz kabisaa huo upupu wake..tena akaongezea na hili..kuwa umeme wa maji umepitwa na wakat na haufai..wakat norway ndo wanautumia huo umeme had leo..USA wanajenga mabwawa kila siku..ethiopia wanajenga pia..
We mbatizaji nawe umeshalishwa poda nini??
 
Back
Top Bottom