Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 784
- 2,061
Bhana bhana leo nilikuwa na mishe flani hivi Sinza madukani...sasa baada ya kufika nika chill sehemu namsubiria mwenyeji wangu
Dakika si nyingi ikaja LAND ROVER ikapaki pembeni kisha ikashuka pisi moja ya maana..nnaposema ya maana namaanisha ..sasa yule sista kashuka kwa madoido yote akaenda sehemu ya kubadili fedha za kigeni
DK 5 hazikuisha mle ndani nikaona dada anatolewa kwa kusukumwa kama kaiba vile..ikabidi tusogee karibu kujua tatizo ni nini
Kumbe dada wa watu aliachiwa Dola 500 na yule jamaa wa LAND ROVER ambazo zilikuwa ni FEKI,Kwa hiyo alikuwa kama anawalazimisha watu wa mle ndani wambadilishie fedha kwani aliamini hazina Ufeki wowote
Maskini dada wa watu katolewa ndani kwa kusukumwasukumwa na maneno makali..u sista du wote umemwisha..alikuwa kdg yupo pombe lakni kwa ile SITUATION Pombe yote imemruka,amebaki analia tu maskini hata ukimuuliza swali anabaki kujibu"mimi wa kufanyiwa hivi?"
Inavyoonekana Jamaa amekula nae bata usiku mzima then manzi akijua kapata mshiko wa maana akaishia kutapeliwa tu masikini, huku MZIGO ushaliwa
Wasamaria wema mkamsaidie bhana..mi nimemwacha hapo amekaa tu chini(kwenye ngazi za kupandia duka la Vunja bei) hata viatu hana,akili yote imemruka..kweli wanaume Konyo!!
Dakika si nyingi ikaja LAND ROVER ikapaki pembeni kisha ikashuka pisi moja ya maana..nnaposema ya maana namaanisha ..sasa yule sista kashuka kwa madoido yote akaenda sehemu ya kubadili fedha za kigeni
DK 5 hazikuisha mle ndani nikaona dada anatolewa kwa kusukumwa kama kaiba vile..ikabidi tusogee karibu kujua tatizo ni nini
Kumbe dada wa watu aliachiwa Dola 500 na yule jamaa wa LAND ROVER ambazo zilikuwa ni FEKI,Kwa hiyo alikuwa kama anawalazimisha watu wa mle ndani wambadilishie fedha kwani aliamini hazina Ufeki wowote
Maskini dada wa watu katolewa ndani kwa kusukumwasukumwa na maneno makali..u sista du wote umemwisha..alikuwa kdg yupo pombe lakni kwa ile SITUATION Pombe yote imemruka,amebaki analia tu maskini hata ukimuuliza swali anabaki kujibu"mimi wa kufanyiwa hivi?"
Inavyoonekana Jamaa amekula nae bata usiku mzima then manzi akijua kapata mshiko wa maana akaishia kutapeliwa tu masikini, huku MZIGO ushaliwa
Wasamaria wema mkamsaidie bhana..mi nimemwacha hapo amekaa tu chini(kwenye ngazi za kupandia duka la Vunja bei) hata viatu hana,akili yote imemruka..kweli wanaume Konyo!!