mzalendo2010
Member
- Oct 13, 2010
- 13
- 0
kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini unapozungumzia maendeleo kwa nchi kama TZ, wananchi wanahitaji yafuatayo:-
Hali imekuwa tofauti kwa Muheshimiwa SIX mbunge wa jimbo la Urambo mashariki, sera zake haziniingi akilini, nashangaa kwa nn wananchi wanaendelea kumkumbatia, Nimefanikiwa kufika Urambo, katika jimbo la huyu mheshimiwa, hali ni ya kutisha, ukizingatia kuwa hii wilaya ni miongoni mwa top three ya wilaya zinazoongoza kwa ukusanyaji wa mapato, cha ajabu miundombinu ni mibaya kuliko maelezo, maji ni tatizo,elimu hali kadhalika.....
- Elimu Bora.
- Miundombinu mfano barabara.
- Afya bora, ujenzi wa vituo vya afya katika sehemu husika
- Ajira, kutengeneza nafasi za ajira hasa kwa vijana na akina mama
- Huduma ya maji safi na salama
- Uchumi, kipato kuanzia ngazi ya kaya/familia
- Kuboresha kilimo etc etc
Hali imekuwa tofauti kwa Muheshimiwa SIX mbunge wa jimbo la Urambo mashariki, sera zake haziniingi akilini, nashangaa kwa nn wananchi wanaendelea kumkumbatia, Nimefanikiwa kufika Urambo, katika jimbo la huyu mheshimiwa, hali ni ya kutisha, ukizingatia kuwa hii wilaya ni miongoni mwa top three ya wilaya zinazoongoza kwa ukusanyaji wa mapato, cha ajabu miundombinu ni mibaya kuliko maelezo, maji ni tatizo,elimu hali kadhalika.....