EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
- Thread starter
- #61
Huweezi jua maana biblia inasema Mungu anaangalia mwisho wako na sio mwanzo, ila kwa huyu mwamba sidhani kama atatoboa, mimi SIO MUNGU lakiniSio ajabu nyakati za mwisho utamkuta huyu mzee "high table " amekaa karibu na Mungu.