Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,857
- 19,752
Siri ya ulimwengu usioonekana ni beyond our thinking...
Kwa hali ya kawaida kabisa kitu hiki mwanadamu wa kawaifa hawezi kabisa kufanya...ni sawa na baba anayembaka binti yake wa miaka 3...
Haya mambo hayana majibu kwa ulimwengu wetu huu unaoonekana.
Lazima kuna msukumo unaofanilisha mambo haya...kifupi ni roho za mababu...roho za kiukoo zenye kila aina ya laana zinazo kushukia na unakuwa huna choice u need to do it...either u like it or not..roho zinakamata nafsi yako bila ridhaa yako na unafanya chochote zitakazo zenyewe..kiwe kizuri ama kibaya.
Kwa akili ya kawaida kabisa utamwona huyu jamaa si mzima kichwani....
Mambo haya ya laana za familia huwa zinazoibuka baada ya vizazi kadhaa ...unakuta familia ina wasagaji ama mashoga, majambazi, ma changu, mavivu ya kazi..nk
Kuua laana hizi ni kazi kubwa mno!! Ni ma roho yanayoishi katika familia husika na yanakuwa na amri kuu juu yenu.
Hiyo ^whether you like it or not^ umeharibu ^car-bee-sir^ yaani. No one can be successfully forced to do what they do not want or like. Ukiona umefanya kitu, jua umeridhia. Ule usemi kwamba huwezi kumlazimisha punda anywe maji, japo umemburuza hadi kumto, unahusika sana hapa. Lastly, siyo ngumu kuondoa hizo laana, kama usemavyo. People must be taught kuhusu right & wrong; God & the Devil. Halafu wafundishwe kumpenda Mungu na kumchukia Shetani na matendo yake yoooote. That's it!