Alichofanya Hayati Magufuli kwenye chaguzi za 2019 na 2020 ni udhihirisho kuwa kwenye Uchaguzi huru Upinzani wanaweza kushinda

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,869
141,804
Nazungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 mbinu alizotumia Mwenyekiti pekee mwanasayansi kukipa chama chake ushindi kama asingezitumia CCM wangepoteana.

Hivyo CCM isibweteke na kujiamini kwamba inapendwa na wananchi kwa 84% ni kweli katika uchaguzi wa kisayansi inapendwa sana tena mno lakini katika fair election habari inaweza kuwa tofauti kabisa kabisa yaani.

Hivyo nawasihi wana CCM wazingatie kuwa silaha yao kubwa ni Umoja na siyo vinginevyo. Watu wenye ushawishi wanazidi kupungua CCM kutokana na uzee na wengine kufa na ingizo jipya la vijana ndio halina mvuto kabisa kwa sababu Vijana makini hawavutiwi na siasa hivyo wale " chawa" ndio wanakibeba chama kwa sasa.

Maendeleo hayana vyama!
 
"Unaposema inapendwa san tena mno then katika fair election hbr inaweza kua tofaut kbs" Unamaanisha nn? Cz kama inapendwa san tena mno on that percentage hata kuwe na tume huru na fair elections bas CCM watashinda according to your claims!
 

Lindi: Wanachama wanne wa CHADEMA watupwa jela miaka 8

Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli inawatesa sana timu gaidi
Mzilankende mnyago haturudi Tena milele....hata mkiwafunga wafuasi wote wa cdm...kafa kafa kashakufa... period
 
Nazungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 mbinu alizotumia Mwenyekiti pekee mwanasayansi kukipa chama chake ushindi kama asingezitumia CCM wangepoteana.

Hivyo CCM isibweteke na kujiamini kwamba inapendwa na wananchi kwa 84% ni kweli katika uchaguzi wa kisayansi inapendwa sana tena mno lakini katika fair election habari inaweza kuwa tofauti kabisa kabisa yaani.

Hivyo nawasihi wana CCM wazingatie kuwa silaha yao kubwa ni Umoja na siyo vinginevyo.

Watu wenye ushawishi wanazidi kupungua CCM kutokana na uzee na wengine kufa na ingizo jipya la vijana ndio halina mvuto kabisa kwa sababu Vijana makini hawavutiwi na siasa hivyo wale " chawa" ndio wanakibeba chama kwa sasa.

Maendeleo hayana vyama!
Wapinzani kushindwa ni matokeo ya mipango ovu ya CCM.Sasa hivi huhitaji hata elimu ya gumbaru kuung'amua uporaji wa michakato ya uchaguzi maana haifanywi kwa siri tena.

CCM hata ikishindanishwa na vyama kama CHAUMA, UDP, TLP, CUF nk kwenye uchaguzi huru na wa haki wanaanguka kifo cha mende. Wapo tepe tepe, bila POLICE, NEC, TISS, RCs, DCs, DEDs, WEOs na VEOs wanaangukia pua.Umewahi kuona wapi wasimamizi wa uchaguzi wanapiga kura za maruhani/marehemu!
 
Mkemia alituma "organic chemistry" kama njia sahihi ya kupata ushindi wa kishindo. Alitembea katika sayansi kwa nukuu ifuatayo;

"Hydrocarbons are generally colourless and hydrophobic with only weak odours. Because of their diverse molecular structures, it is difficult to generalize further"

Kwa hiyo akautumia udhaifu wa mfumo kama "diverse molecular structure" ili kuiba kura na kukipatia ushindi cha chake.
 
Mkemia alituma "organic chemistry" kama njia sahihi ya kupata ushindi wa kishindo. Alitembea katika sayansi kwa nukuu ifuatayo;

"Hydrocarbons are generally colourless and hydrophobic with only weak odours. Because of their diverse molecular structures, it is difficult to generalize further"

Kwa hiyo akautumia udhaifu wa mfumo kama "diverse molecular structure" ili kuiba kura na kukipatia ushindi cha chake.
Sasa baada ya kuiba kura zote, kwa nini tena kulazimisha wabunge wa viti maalumu aka Covid - 19?

Nia yake ilikua awe na bunge la chama chake tu, sasa kwa nini hadi kumtoa aliyekua mahabusu gerezani usiku na kumkimbiza kuapishwa Dodoma? Ni kwamba hakufurahia kuwa na 100% wabunge wake? baada ya CHADEMA kukataa kupeleka viti maalumu kutokana na matokeo ya uchaguzi ya hovyo?
 
"Unaposema inapendwa san tena mno then katika fair election hbr inaweza kua tofaut kbs" Unamaanisha nn? Cz kama inapendwa san tena mno on that percentage hata kuwe na tume huru na fair elections bas CCM watashinda according to your claims!
Acha kukurupuka soma kwanza uelewe
 
Wapinzani kushindwa ni matokeo ya mipango ovu ya CCM.Sasa hivi huhitaji hata elimu ya gumbaru kuung'amua uporaji wa michakato ya uchaguzi maana haifanywi kwa siri tena.
CCM hata ikishindanishwa na vyama kama CHAUMA,UDP,TLP,CUF nk kwenye uchaguzi huru na wa haki wanaanguka kifo cha mende.Wapo tepe tepe,bila POLICE,NEC,TISS,RCs,DCs,DEDs,WEOs na VEOs wanaangukia pua.Umewahi kuona wapi wasimamizi wa uchaguzi wanapiga kura za maruhani/marehemu!
🤣🤣🤣
 
Nazungumzia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 mbinu alizotumia Mwenyekiti pekee mwanasayansi kukipa chama chake ushindi kama asingezitumia CCM wangepoteana.

Hivyo CCM isibweteke na kujiamini kwamba inapendwa na wananchi kwa 84% ni kweli katika uchaguzi wa kisayansi inapendwa sana tena mno lakini katika fair election habari inaweza kuwa tofauti kabisa kabisa yaani.

Hivyo nawasihi wana CCM wazingatie kuwa silaha yao kubwa ni Umoja na siyo vinginevyo.

Watu wenye ushawishi wanazidi kupungua CCM kutokana na uzee na wengine kufa na ingizo jipya la vijana ndio halina mvuto kabisa kwa sababu Vijana makini hawavutiwi na siasa hivyo wale " chawa" ndio wanakibeba chama kwa sasa.

Maendeleo hayana vyama!
Duh Bwashee, sikutegemea andiko hili kutoka kwako japo ndo ukweli! Maana nikuonavyo wewe ni kama vile una nasaba ya kijani,
sasa kuleta andiko kama hilo linatuahc wengine hoi! Au ndo kubadili gia angani?!!
 
Leo umesimamia vema ahadi namba 8 ya mwanaCCM.

Tuwaambie wanachama wenzetu kuwa kuna wakati inafika dola inachoka...tujifunze kwa yanayotokea uarabuni
Huyu jamaa johnthebaptist nafsi yake huwa inaelewa vizuri sana madhambi ya CCM. Amekua mkweli sana na mara nyingi yuko against wapiga makofi wengi wa CCM.

Hayuko huyu tu, wako wengi, lakini wengine hawako wazi. Mbeleko za kuibeba CCM zitafika mahala zitachanika na itadondoka tu.
 
Back
Top Bottom