Alichofanya anakijua na ndo maana hatarudi Tanzania

Hivi jamani mwili wa binadamu unaweza ukabeba risasi 16 kwa akili ya kawaida maana ninavyojua jua risasi ina sehemu kuu tatu ina kichwa ambacho kimechongoka pia ina umbo LA laki ambayo hubeba baruti halafu kasha LA nyuma ambayo risasi ikitoka huwa linabaki xaxa lile umbo LA kati huwa linabaruti ambayo asilimia kubwa ndio huleta madhara kwenye mwili xaxa hizo 16 inakuwaje jamanii naombeni mtu anifafanulie vizuri zaidi inakuwaje hapo 16

Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize Mungu, hakuna mtu wa kukufafanulia hapo!!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichofanya alidhani kitabaki sirini.serikali Ni kubwa na Ina uwezo wa kupata taarifa nyingi.tusingekupiga bure unafki uliofanya umekupelekea kufanywa kile ulichofanywa.serikali hatuonei mtu Bali mtu anajigonga mwenyewe na kwa kuwa ulidhani hii awamu Ni Kama zile nyingine pole sana.nawasihi wananchi kwa ujumla zingatieni Sana sheria pendeni kuishi kwa uhalali.serikali zipo na zinatambulika na zinapaswa ziogopeke ili amani iwepo.hata historia tu inaonyesha harakati ambazo serikali nyingi imezipitia wakati mwingine baadhi ya watu hutolewa ili kuokoa wengi .yeye alifanya usaliti akatengeneza mtandao wa kujaribu kukwepesha ACCACIA wasionekane waizi.serikali tukachukia Sana kwanini mtu aliyesomeshwa na taifa lake badala atumie elimu yake ya sheria kutushauri tufanye kitu gani kwa maslahi ya taifa yeye akatugeuka anakwenda kuwa watetezi wao na kutuibia Siri ili akawape.shukrani kwa wazalendo mliosimama imara mkakataa rushwa ambazo baadhi ya maofisa walizikubali.baki hukohuko lakini tambua duniani maisha ya mtu hayana thamani mbele ya mustakabali wa serikali za watu.hata hao wazungu wameshauana Sana mpaka kufika Hapo walipo.eti Kuna watu wanajidanganya kuwa Rais hapati usingizi kwa hizi ziara.acheni kujidanganya anayeona aibu Ni yeye aliye huko nchi za magharibi na sio serikali.umewahi kusikia wapi serikali imetishwa na mtu mmoja.come on men!wake up!
Huu mwandiko ni wa afsa mkubwa wa serikali . Baada ya kituo anaanza na herufi ndogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichofanya alidhani kitabaki sirini.serikali Ni kubwa na Ina uwezo wa kupata taarifa nyingi.tusingekupiga bure unafki uliofanya umekupelekea kufanywa kile ulichofanywa.serikali hatuonei mtu Bali mtu anajigonga mwenyewe na kwa kuwa ulidhani hii awamu Ni Kama zile nyingine pole sana.nawasihi wananchi kwa ujumla zingatieni Sana sheria pendeni kuishi kwa uhalali.serikali zipo na zinatambulika na zinapaswa ziogopeke ili amani iwepo.hata historia tu inaonyesha harakati ambazo serikali nyingi imezipitia wakati mwingine baadhi ya watu hutolewa ili kuokoa wengi .yeye alifanya usaliti akatengeneza mtandao wa kujaribu kukwepesha ACCACIA wasionekane waizi.serikali tukachukia Sana kwanini mtu aliyesomeshwa na taifa lake badala atumie elimu yake ya sheria kutushauri tufanye kitu gani kwa maslahi ya taifa yeye akatugeuka anakwenda kuwa watetezi wao na kutuibia Siri ili akawape.shukrani kwa wazalendo mliosimama imara mkakataa rushwa ambazo baadhi ya maofisa walizikubali.baki hukohuko lakini tambua duniani maisha ya mtu hayana thamani mbele ya mustakabali wa serikali za watu.hata hao wazungu wameshauana Sana mpaka kufika Hapo walipo.eti Kuna watu wanajidanganya kuwa Rais hapati usingizi kwa hizi ziara.acheni kujidanganya anayeona aibu Ni yeye aliye huko nchi za magharibi na sio serikali.umewahi kusikia wapi serikali imetishwa na mtu mmoja.come on men!wake up!
Hata watoto wa chekechea watazimia kwa kucheka lakini hawatatishika. Pole sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnachekesha kweli lissu ana akili zake timamu usifikiri nyinyi ndio mna akili peke yenu ,kila binadamu ana akili msijione wajanja kiwango cha akili ndio kinatofautiana ,kama hivi wewe kwa uandishi wako huu wa form four failure huoni aibu .
 
USTAARABU KWENYE MABEBERU WALIOTUFIKISHA LEO HAPA KWA HALI YA UCHUMI TULIO NAYO?

YANI MSALITI M1 TU KWA NJAA ZAKE AISALITI SERIKALI YAKE KTK ACCASIA(MADINI) SABABU YA UCHUMIA TUMBO LAKE NA AACHWE HIVI HIVI KISA USTAARABU? HATA KIM RAISI WA KOREA YA KASKAZINI ALIWAHI KUMSHONA MJOMBA WAKE RISASI.

KUMBUKA SULEIMAN ALIKUWA NA HEKIMA SANA NDIYOMAANA MUNGU ALIMZIDISHIA BARAKA ZA MALI NYINGI SANA LAKINI HAIKUMZUIA KUAMURU MTOTO ALIYEKUWA AKIN'GANG'ANIWA NA WANAWAKE WAWILI AUWAWE KWA UPANGA.

JE SULEIMANI HAKUJUA KUUA KIUMBE CHAKE MUNGU(MTOTO) NI DHAMBI?

HEKIMA HUHITAJI MAAMUZI MAGUMU WAKATI MWINGINE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupotosha yule mtoto hakuuawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichofanya alidhani kitabaki sirini.serikali Ni kubwa na Ina uwezo wa kupata taarifa nyingi.tusingekupiga bure unafki uliofanya umekupelekea kufanywa kile ulichofanywa.serikali hatuonei mtu Bali mtu anajigonga mwenyewe na kwa kuwa ulidhani hii awamu Ni Kama zile nyingine pole sana.nawasihi wananchi kwa ujumla zingatieni Sana sheria pendeni kuishi kwa uhalali.serikali zipo na zinatambulika na zinapaswa ziogopeke ili amani iwepo.hata historia tu inaonyesha harakati ambazo serikali nyingi imezipitia wakati mwingine baadhi ya watu hutolewa ili kuokoa wengi .yeye alifanya usaliti akatengeneza mtandao wa kujaribu kukwepesha ACCACIA wasionekane waizi.serikali tukachukia Sana kwanini mtu aliyesomeshwa na taifa lake badala atumie elimu yake ya sheria kutushauri tufanye kitu gani kwa maslahi ya taifa yeye akatugeuka anakwenda kuwa watetezi wao na kutuibia Siri ili akawape.shukrani kwa wazalendo mliosimama imara mkakataa rushwa ambazo baadhi ya maofisa walizikubali.baki hukohuko lakini tambua duniani maisha ya mtu hayana thamani mbele ya mustakabali wa serikali za watu.hata hao wazungu wameshauana Sana mpaka kufika Hapo walipo.eti Kuna watu wanajidanganya kuwa Rais hapati usingizi kwa hizi ziara.acheni kujidanganya anayeona aibu Ni yeye aliye huko nchi za magharibi na sio serikali.umewahi kusikia wapi serikali imetishwa na mtu mmoja.come on men!wake up!
This guy is less valued than a piece of shit

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naipenda sana Tanzania nchi yangu, na napenda matumizi ya rasimali kwa maslahi mapana ya nchi yetu. CCM kindaki ndaki, shabiki mzuri wa mwenyekiti wangu.

ILA Nashindwa kujua usaliti wa LISSU ni upi? Uko ktk lipi? Kama ni msaliti kwa nini mnaficha huo usaliti wake?

Hivi Lissu wa leo, je ni tofauti na LISSU aliyeanzisha harakati za kudai haki na usawa ktk miktaba ya madini tangu late 2000s?

Hiyo professorial report ya madini/makinikia ilikuwa na kipi kipya na unique tofauti na report za akina Lissu?

Huu ubatizo wenye jina la "msaliti" hautimiliki hata kwa maji na moto. Tutafute lingine.
Awamu ya tano; Wezi, Mafisadi ndio "wazalendo" wanaoita wengine walio safi "wasaliti". Wananyamazishwa kwa risasi . Halafu WAO tuwaamini na kuwasifu kwa makinikia, korosho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichofanya alidhani kitabaki sirini.serikali Ni kubwa na Ina uwezo wa kupata taarifa nyingi.tusingekupiga bure unafki uliofanya umekupelekea kufanywa kile ulichofanywa.serikali hatuonei mtu Bali mtu anajigonga mwenyewe na kwa kuwa ulidhani hii awamu Ni Kama zile nyingine pole sana.nawasihi wananchi kwa ujumla zingatieni Sana sheria pendeni kuishi kwa uhalali.serikali zipo na zinatambulika na zinapaswa ziogopeke ili amani iwepo.hata historia tu inaonyesha harakati ambazo serikali nyingi imezipitia wakati mwingine baadhi ya watu hutolewa ili kuokoa wengi .yeye alifanya usaliti akatengeneza mtandao wa kujaribu kukwepesha ACCACIA wasionekane waizi.serikali tukachukia Sana kwanini mtu aliyesomeshwa na taifa lake badala atumie elimu yake ya sheria kutushauri tufanye kitu gani kwa maslahi ya taifa yeye akatugeuka anakwenda kuwa watetezi wao na kutuibia Siri ili akawape.shukrani kwa wazalendo mliosimama imara mkakataa rushwa ambazo baadhi ya maofisa walizikubali.baki hukohuko lakini tambua duniani maisha ya mtu hayana thamani mbele ya mustakabali wa serikali za watu.hata hao wazungu wameshauana Sana mpaka kufika Hapo walipo.eti Kuna watu wanajidanganya kuwa Rais hapati usingizi kwa hizi ziara.acheni kujidanganya anayeona aibu Ni yeye aliye huko nchi za magharibi na sio serikali.umewahi kusikia wapi serikali imetishwa na mtu mmoja.come on men!wake up!
Kwani walioingia mikataba ya kipumbavu na hao Accacia walikuwa ni wapinzani?! Yaani mikataba mtengeneze ninyi halafu mjifanye mnatupa lawama kwingine. Halafu serikali halali na nzuri haitakiwi kuogopwa, inatakiwa kuheshimiwa. Watu wanatakiwa kufundishwa heshima na si woga.
 
USTAARABU KWENYE MABEBERU WALIOTUFIKISHA LEO HAPA KWA HALI YA UCHUMI TULIO NAYO?

YANI MSALITI M1 TU KWA NJAA ZAKE AISALITI SERIKALI YAKE KTK ACCASIA(MADINI) SABABU YA UCHUMIA TUMBO LAKE NA AACHWE HIVI HIVI KISA USTAARABU? HATA KIM RAISI WA KOREA YA KASKAZINI ALIWAHI KUMSHONA MJOMBA WAKE RISASI.

KUMBUKA SULEIMAN ALIKUWA NA HEKIMA SANA NDIYOMAANA MUNGU ALIMZIDISHIA BARAKA ZA MALI NYINGI SANA LAKINI HAIKUMZUIA KUAMURU MTOTO ALIYEKUWA AKIN'GANG'ANIWA NA WANAWAKE WAWILI AUWAWE KWA UPANGA.

JE SULEIMANI HAKUJUA KUUA KIUMBE CHAKE MUNGU(MTOTO) NI DHAMBI?

HEKIMA HUHITAJI MAAMUZI MAGUMU WAKATI MWINGINE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnazidi kuwa vichekesho. Kila mmoja wenu anapanga na kuongea lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alichofanya alidhani kitabaki sirini.serikali Ni kubwa na Ina uwezo wa kupata taarifa nyingi.tusingekupiga bure unafki uliofanya umekupelekea kufanywa kile ulichofanywa.serikali hatuonei mtu Bali mtu anajigonga mwenyewe na kwa kuwa ulidhani hii awamu Ni Kama zile nyingine pole sana.nawasihi wananchi kwa ujumla zingatieni Sana sheria pendeni kuishi kwa uhalali.serikali zipo na zinatambulika na zinapaswa ziogopeke ili amani iwepo.hata historia tu inaonyesha harakati ambazo serikali nyingi imezipitia wakati mwingine baadhi ya watu hutolewa ili kuokoa wengi .yeye alifanya usaliti akatengeneza mtandao wa kujaribu kukwepesha ACCACIA wasionekane waizi.serikali tukachukia Sana kwanini mtu aliyesomeshwa na taifa lake badala atumie elimu yake ya sheria kutushauri tufanye kitu gani kwa maslahi ya taifa yeye akatugeuka anakwenda kuwa watetezi wao na kutuibia Siri ili akawape.shukrani kwa wazalendo mliosimama imara mkakataa rushwa ambazo baadhi ya maofisa walizikubali.baki hukohuko lakini tambua duniani maisha ya mtu hayana thamani mbele ya mustakabali wa serikali za watu.hata hao wazungu wameshauana Sana mpaka kufika Hapo walipo.eti Kuna watu wanajidanganya kuwa Rais hapati usingizi kwa hizi ziara.acheni kujidanganya anayeona aibu Ni yeye aliye huko nchi za magharibi na sio serikali.umewahi kusikia wapi serikali imetishwa na mtu mmoja.come on men!wake up!
Akili za korosho
IMG_20190211_035137.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama ingekuwa wewe, upigwe risasi 16 usingelinyamza ungesema acheni Lissu azungumze!
 
Back
Top Bottom