Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,013
Huyu bwana anajiita mjamaa.
Ni mwalimu wetu wa sayansi ya siasa pale UDSM (Najisikia soni,kusema nimepita mikononi mwake).
Akighani mashairi pale Nkuruma tulipokuwa tukikutana wajamaa tusiovaa Scarf kama wafanyavyo kina Mwigulu na Lugola ( poleni sana wazee wangu Ulimwengu na Shivj mlomwamini bwana Bashiru kama mwana wa Afrika kumbe mchumia tumbo) akijinasibu kama mjamaa japo sio kweli.
Bwana Bashir hana kipande anachoweza kujivunia hapo Lumumba, amekuwa mnafiki kuliko hata kina Mukama, Makamba na Kinana ambao hawajasoma hiyo siasa yenyewe.
Mtu aitwe oil chafu juzi hapa, leo Anaambiwa amerudi nyumbani? Dr. Bashiru Ally ni kichefuchefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mwalimu wetu wa sayansi ya siasa pale UDSM (Najisikia soni,kusema nimepita mikononi mwake).
Akighani mashairi pale Nkuruma tulipokuwa tukikutana wajamaa tusiovaa Scarf kama wafanyavyo kina Mwigulu na Lugola ( poleni sana wazee wangu Ulimwengu na Shivj mlomwamini bwana Bashiru kama mwana wa Afrika kumbe mchumia tumbo) akijinasibu kama mjamaa japo sio kweli.
Bwana Bashir hana kipande anachoweza kujivunia hapo Lumumba, amekuwa mnafiki kuliko hata kina Mukama, Makamba na Kinana ambao hawajasoma hiyo siasa yenyewe.
Mtu aitwe oil chafu juzi hapa, leo Anaambiwa amerudi nyumbani? Dr. Bashiru Ally ni kichefuchefu
Sent using Jamii Forums mobile app