Elections 2015 Alichoandika Juma Mwapachu mara tu Sumaye alipotangaza kuhamia UKAWA

Nyie UKAWA mumechanganyikiwa kabisa. Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kusema kuwa upinzani huu tulionao leo wa masilahi binafsi utashika dola? Mkapimwe nyie hamko sawa.
 
Tanzania hakuna upinzani wa kweli. Wanasiasa wa upinzani ni wachumia matumbo tuu. Tunahitaji muda sana ili kuupa nchi upinzani. Waliopo sasa ni wababaishaji tuu. Wameanzisha vyama kama SACCOS zao
 
Hivi MAGUFULI na LOWASA nani alieteuliwa? Tumia akili wewe. Chadema walifanya uchaguzi kumteua Lowassa?nani alipiga kura?
 
Chadema hawakurusu mtu yotote kuchukua fomu ili tu LOWASSA asiwe na mshindani. Sasa demokrasia iko wapi? Si ni afadhali CCM ambao waliruhusu watu wachukue fomu na kura zaidi ya 2300 zikimpitisha MAGUFULI. LOWASSA alipitishwa na kura ngapi huko CHADEMA??
 
Mkuu kumkosoa mzee Mwapachu kwenye kiingereza inabidi ujipange. Walisoma wakati shule zilikuwa na viwango na walimu walielimika vilivyo na kuheshimika kwenye jamii.

Kwa kuongezea, tena walijifunza COLONIAL ENGLISH sio sie tume download na apps ya google translate unaandika neno huku una lihakiki
 
Wala siyo kitu cha kumsifia. Yeye ni Mtanzania na Lugha yake ya asili ni kiswahili. Tena anatoka TANGA ambapo wanazungumza kiswahili saaaafi. Kuzungumza kiingereza hali ya kuwa unao waambia ni WATANZANIA huo ni utumwa wa fikra kuwa kilicho bora ni cha mzungu.
 
Mbona hakuyasema haya siku zote kama kweli yeye anaguswa na maisha ya watanzania?
ameishiwa kabisa. Leo anakosoa wenzake hali ya kuwa yeye hana historia yoyote kwenye maisha ya watanzania toka ujana wake mpaka leo amekuwa mzee amekuwa ni mtumishi wa serikali kwa vyeo mbalimbali.
Anataka tu kujitafutia ulaji kwa fikra zake kama ikitokea UKAWA wameshinda. Hana lolote. Haya maoni yake mbona hakuyatoa kabla ya julai au mwaka jana.? TAFAKARI VEMA.
Kuna watu wanafanya uchambuzi wa vitu kutokana na yale yanayotokea na hata kina Polepole, Dr. Bana sijui Bashiru Ally wasingekuwa wanahojiwa kama hakuna agenda ambayo ni hot iliyotokea kwenye jamii hivyo kutokana na matukio kila mtu anawiwa kuzungumza mtazamo wake au kile alichokuwa nacho moyoni anaona ndio muda muafaka kukiongea.
 
Bado sijamwelewa Mwapachu.

Lowassa ni leader?

Uleadership wake alionyesha wapi, kwa namna gani?

For what I know, Lowassa alikuwa waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi.

For what I know Magufuli delivers wherever he go.

What is this thing manager vs leader?

A leader whose leadership is epitomized by curruption scandals and suspicious tendencies is just a bad leader.

A manager whose managerial capacity is indistingushable from good leadership is just that, a good leader.

Kwangu mimi ni kuchagua kati ya nyeusi na nyeupe, Lowassa au Magufuli.

Mwapachu, usinchekeshe...
 
Watu tuanjua lugha zaidi ya nne na tupo kimyaa. Mimi najua kiarabu,kifaransa,kitaliano kiingereza,kihindi na kiswahili jumlisha na lugha za
makabila mbalimbali ya kitanzania ikieemo kisukuma,kipare,kisambaa,kidigo na kiluguru na kijita kidooogo. Ila sioni maana ya kuzungumA lugha za wenzangu kwani ipo ligha inayotuunganisha watanzania wote na inatosha kukidhi mahitaji yangu.
 
Kuzungumza lugha za wenzako siyo kwamba una maarifa zaidi au ndo kwamba una hoja zaidi kwenye masuala unayoyazungumza. Kiingereza ni LUGHA kama LUGHA yoyote ile.
 
Hawa UKAWA wamevurugwa. Utadhani wamechukuliwa Msukure. Manake hawajielewi wala hawafikiri..wao ni kufuata kila wanachoambiwa bila ya kutumia akili zao. Huu si ni sawa na Msukure tuu.
 
Taifa hili limekosa wasomi wenye akili yaku uliza why ths? Tunavijana na ma Prof wenye first clas but inapokuja hoja ya Lowasa wanakuwa mazezeta kiasi unajiuliza why mtu huyu alienda Shule, imefika mahal yatupasa kujiuliza tunampigia debe Lowasa kwa jambo gani. Mtu alie chafuka na dam ya wanawake walio poteza maisha kwakusa dawa just b'coz ya ulafi wake, mtu alie na roho ngumu alie shindwa mzika J. K Njerere akaja kuhan baada ya kifo chake. Huyu mtu hata Mungu sijuw kama atamkumbuka kwa matendo yake alienda kwa shida ya Urais akikosa atamuacha Mungu. Ewe mtanzania kuwa makini na makanjanja wa Elimu wasiokuwa na maono ya taifa hili ila kwao pesa kwanza mengine yatafuwata. Mungu awasamehe.

Haya ni mawazo ya mtu aliepewa UBONGO kwa Bahati mbaya.....Mkuu unatokwa povu na maneno ya hovyo nivile hamkutegemea km Mirija yenu ingekatwa ghafla namna nw jiandaeni kuishi na liCCM lenu mkiwa chama cha upinzani
 
Good Food 4 thought!! a well thought out opinion from an expérienced
civil servant, manager, academic, nd diplomat! Asante sana Juma!


Friday, August 21, 2015

Thinking+Differently+-+Juma+Mwapachu.jpg

Juma Mwapachu

I believe earnestly that Tanzania is on a certain and definitive pathway towards a turning and tipping point in its history. It is a momentous stage where a new visionary leadership steps in and a fundamental re-definition of our country's goals and values is undertaken and executed.

For all that can be said and even celebrated by global peer institutions such as the IMF and the World Bank about our country's ostensibly significant GDP economic performances in these past few years, there can be no hiding from or denying the harsh realities of rural society frustration and agony; of urban social anger; a youth in a state of hopelessness and generally of a broad state of apathy and uncertainty in the Tanzanian populace. In this environment the desire for change emboldens many and has become a common refrain.

Yet, ' turning and turning in the widening gyre the falcon cannot hear the falconer'
as so well conjectured in WB Yeats's epic poem, 'The Second Coming'. Tanzanians are in a desperate search for a hearing 'falconer' who can once again rekindle and awaken their aspirations and hopes which Mwalimu Nyerere so powerfully promised to deliver.

They desperately await a more enriching and rewarding life, now and not in any future. They are thus anxiously looking for a 'second coming' of a leader who can lead them to the land of 'milk and honey'. They are looking for a leader, not a good manager; somebody who does the right thing and not one who merely does things right. A leader is a person who gets elected. A manager, in contrast, is always appointed to perform tasks and responsibilities.

Many of us are managers and can acquit ourselves very well in such responsibility. But we are not leaders. The forthcoming Presidential election crucially revolves around our making a critical choice for the this new epoch in our country; a choice between electing a 'manager' and a good one at that and a 'leader'.

What is most interesting about this particular election is that, in as much as we would popularly wish to think that the contest is between the CCM and UKAWA candidates, the reality is different. The contest is between 'leadership' and 'management'.

In my view and a well considered one, Edward Ngoyai Lowassa will provide the much needed leadership that our country desperately requires. John Pombe Magufuli will only, in contrast, give us what he is best at, mere good management.

If we are seriously thinking about 'change' and real change at that for our country, then we have to decide what we want; business as usual but better delivered or a transformative leadership that best understands the challenges of a brave new world with all its unpredictabilities and fast changing social, economic, political and technology changes. It is a moment for serious choice. Choose wisely.


at 01:57 PM










 
Back
Top Bottom