Alianza Heri James, sasa ni Gambo na Makonda atafuata

Kwahiyo unasapoti Upigaji siyo? ila wengine wakipiga mnasema eti kwa Sababu Shujaa wa Mazezeta hayupo.
Inategemea unapigaje!

Hata Mbowe anapiga hela ila wewe mfuasi wake unapiga miayo kila siku huku ukidemka kumshabikia aendelee kupiga hela.
 
I don't care nani kapiga nini, ninachosema nisikuone unabwabwaja hapa ati kuna Mtu kapiga kwa sababu Shujaa wako wa Mazezet (sina maana kuwa wewe ni Zezeta) hayupo tuko sawia?
Shujaa wa mazezeta ndio nani huyo?

Mtu akipiga hela kizembe lazima tumseme lakini hiyo haimaanishi watu hawapigi.
Lakini tukiwajua tutasema!
 
Ana akili sana huyo!

Unaona anavyoambana? Akija kupata ulaji huko mbele kutokana na juhudi zake hizo za kupata elimu mataahira yataanza kumtukana wakati mwenzenu anapambana kama hivyo huku nyie mnapiga porojo humu mitandaoni.
kama uja jazba hivi.

Punguza munkari.
 
Shujaa wa mazezeta ndio nani huyo?
Hivi leo unajifanya kumsahau Shujaa wako ndugu zeze..
mybusiness.png
 
Nakumbuka nikiwa mdogo kama kaka yangu akiwa anachapwa kwa makosa yake mimi nilijitahidi niwe kimya kabisa na kuonyesha sura ya unyonge ili baba asije akakumbuka makosa yangu na kunichanganya kwenye adhabu..sometimes it worked out.
 
Wakati Gambo anaongea kuhusu uporaji wa fedha za kigeni Arusha ghafla nikajiskia kuomba kumpa taarifa muongeaji

Nilijiskia kutamka maneno haya:

"Muheshimiwa naibu Spika naomba kumpa taarifa mchangiaji kuwa wakati uporaji huo unafanyika yeye ndiye aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.

Zoezi lile alilisimamia yeye mwenyewe Kama mwenyekiti wa vyombo vya ulinzi na usalama wa mkoa

Mh. Spika, naomba kumpa taarifa mchangiaji kuwa viongozi wanaosimamia uvunjifu wa sheria za nchi ni wahaini na kwa kitendo kile alihujumu uchumi wa nchi yetu hivyo anastahili kuwa gerezani kwa sasa na sio kwenye Bunge lako tukufu"

Wakati nawaza hivyo ghafla usingizi ukaishi nikijikuta kumbe Mimi ni Uncle Jei Jei tu hata mtaa ambapo jengo la bunge lipo sijui unaitwaje. Nikajisonya tu Kama Makonda alivyowasonya Waziri Mkuu na wastaafu enzi zile akiwa Paul Makonda kweli kweli sio leo anavyotambulika kama Baba Keagan
Cha ajabu hakuna mp yeyote alieomba kumpa taarifa muongeaji.
 
Back
Top Bottom