Alianza babu wa loliondo,ikaja vituko vya wabunge,sasa samaki wenye sumu fmr japan,kinachofwata?

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,955
22,133
Alianza babu wa loliondo watu wakakimbia na kupanda ndege kadhaa wakubwa kwa watoto leo hii magazeti waanasema aitib,,wakaja wabunge wetu wakaanza a vichekesho kujibishana ovyo na hata kufikiria kupigana sasa limekuja hili
la swala la samaki wenye sumu ambao walipitishwa kwa vibali vyo te na wizara husika hususan tfda ambao ati jana wanadai wameanza uchunguzi kumbe uchunguzi unafanyika baada ya watu kufa ama ni ile mambo yetu ya 10%

najiuliza nini kinafwata kwenye serikali hii ya kikwete??
 
HTML:
najiuliza nini kinafwata kwenye serikali hii ya kikwete??
Total collapse of The Kikwete Regime!
 
Yaani hata sielewi hii serikali pk anyway tuangalie kuna mtu alitabiri kikwete amalizi 2015 tusubiri
 
aaah mani nimekupata niliandika afute like yangu kwenye msg ya mkwereeeeeeee imetokea hivo *****si unajua vigezo na masharti kuzingatiwa
 
Alianza babu wa loliondo watu wakakimbia na kupanda ndege kadhaa wakubwa kwa watoto leo hii magazeti waanasema aitib,,wakaja wabunge wetu wakaanza a vichekesho kujibishana ovyo na hata kufikiria kupigana sasa limekuja hili
la swala la samaki wenye sumu ambao walipitishwa kwa vibali vyo te na wizara husika hususan tfda ambao ati jana wanadai wameanza uchunguzi kumbe uchunguzi unafanyika baada ya watu kufa ama ni ile mambo yetu ya 10%

najiuliza nini kinafwata kwenye serikali hii ya kikwete??
UMESAHA MABOOOOOOM G MBOTO MKUUU! hATARI!
 
<font color="#0000ff"><b>fafanua!</b></font>
<br />
<br />
emaaaaaa!! Kama unakula sumu kila siku nyingine makusudi eg. samaki,vyakula vingine ambavyo hatupati taarifa zake , sumu za viwandani, uchumi kuporomoka, maradhi na majaribuio ya dawa kufanywa kwa binadamu, siasa chafu nk.
Mwisho wake unadhani nini kitatokea ndugu!
 
Alianza babu wa loliondo watu wakakimbia na kupanda ndege kadhaa wakubwa kwa watoto leo hii magazeti waanasema aitib,,wakaja wabunge wetu wakaanza a vichekesho kujibishana ovyo na hata kufikiria kupigana sasa limekuja hili<br />
la swala la samaki wenye sumu ambao walipitishwa kwa vibali vyo te na wizara husika hususan tfda ambao ati jana wanadai wameanza uchunguzi kumbe uchunguzi unafanyika baada ya watu kufa ama ni ile mambo yetu ya 10%<br />
<br />
najiuliza nini kinafwata kwenye serikali hii ya kikwete??
<br />
<br />
maandamano nchi nzima kupinga gharama za maisha
 
Back
Top Bottom