Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,666
- 4,999
Kwahiyo Magufuli as President and the CCM in particular made the TRA do the raid?
Tutaona tu rangi zao wote uhalisia waoHuyu Mufuruki mara zote amekuwa mpishi wa data za uongo ili kuokoa ccm , sasa yamemkuta analialia nini ?
Dangote kasema.
sasa Mufuruki.
most likely atafuatia Mengi.
na wengine na wengine.
who knows, labda na Polepole tutaja kumsikia atakapokorofishana na bosi wake!
Sheria ni msumeno jameni. Kila siku wadogo wanabambwa na TRA, awana mtetezi Chadema jamiiforum. If you are clean Mzee you are clean. Waache TRA wafanye kazi yao.Nia ni kufanya wa TZ wawe mashetani na kufanya biashara irudi kwa dola. Pole na kuandika inatosha kuweka kumbukumbu sawa.
Hakuna anayekataa sheria bali approach ndio shida kwa awamu hii na zipo namna bora zaidi ndio kilio cha watz, ndio maana hata chroloquin inakuwa sugar quoted ili mgonjwa asisikie uchungu inawezekana kabisa angepewa chunguSheria ni msumeno jameni. Kila siku wadogo wanabambwa na TRA, awana mtetezi Chadema jamiiforum. If you are clean Mzee you are clean. Waache TRA wafanye kazi yao.
Kada wa ccmNdo nani huyo?
CCM haijawahi kuwa na rafiki .Mfadhili wa chama chenu. Kweli CCM hawana wema wala shukrani. Leo wewe ndiyo wa kuuliza Mufuruki ndiyo nani?
Exactly.When the table turns upside down u start crying 4getting ua contribution to the problem...!