Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,702
- 45,021
Nimemuangalia katika mechi kadhaa toka asajiliwe Yanga, nimegundua Ali Sonso hatoshi kuwa katika jezi za Yanga.
Kwasasa anacheza beki namba 3, sio mzuri sana kwenye ukabaji, lakini hata anapopanda kupiga krosi wakati wa mashambulizi, krosi zake zinakosa accuracy. Huwa anajipigia tu bila ya kuwa na uhakika.
Yanga ni bora wangembakisha Mwinyi Ali, kuliko huyu Ali Sonso. Labda ni mzuri akicheza kati lakini kwasasa hawezi kuwatoa Lamine Moro au Kelvin Yondani.
Dirisha dogo Yanga watafute Beki 3 mzuri wa viwango vya kucheza Yanga. Hawa akina Sonso ni wachezaji wa kariba ya Lipuli, Mbao, Biashara Utd.
Kwasasa anacheza beki namba 3, sio mzuri sana kwenye ukabaji, lakini hata anapopanda kupiga krosi wakati wa mashambulizi, krosi zake zinakosa accuracy. Huwa anajipigia tu bila ya kuwa na uhakika.
Yanga ni bora wangembakisha Mwinyi Ali, kuliko huyu Ali Sonso. Labda ni mzuri akicheza kati lakini kwasasa hawezi kuwatoa Lamine Moro au Kelvin Yondani.
Dirisha dogo Yanga watafute Beki 3 mzuri wa viwango vya kucheza Yanga. Hawa akina Sonso ni wachezaji wa kariba ya Lipuli, Mbao, Biashara Utd.