Wakuu heshima Iwe kwenu
Nisiende mbali sana napenda kumsifu king kiba kwa kuwafariji wanyonge ambao wakikataliwa team kulipa Kodi yeye anabeba na kuwafariji walau siku zisogee mbele zaidi, na Hakuna ujanja ujanja Ni kupumuliwa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.