Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nn a iyena hazijaganda.....punguzen janja janja kwny sanaa hasa kwny hizi platform za dunia ya kwanzaIyena Imebebwa Na Kik ya Zari, Alafu kumbuka wimbo wa kiba Views zilisimama kwa saa 24 namb haziongezeki zimeganda vilele then zikaja zikapungua.
100%Kwa nn a iyena hazijaganda.....punguzen janja janja kwny sanaa hasa kwny hizi platform za dunia ya kwanza
Asingekesha Kwenye Media Kuutambulisha wimboHapendagi show off
Ni vyema mngepunguza kik na udhalilishaji na unyanyasaji kwa wazazi wenzenuKwa nn a iyena hazijaganda.....punguzen janja janja kwny sanaa hasa kwny hizi platform za dunia ya kwanza
Umeoa au UmeolewaYaani mziki wa siku hizi unapimwa kwa views YouTube na siyo ubora wa tungo! Tuache unazi kidogo, hivi Iyena ni wimbo mzuri kweli?
Imepenya hiyo.Ni vyema mngepunguza kik na udhalilishaji na unyanyasaji kwa wazazi wenzenu
NimekuoaUmeoa au Umeolewa
Kweli kabisa, Salaam atakuwa anahusika hapo. Si bureIyena Imebebwa Na Kik ya Zari, Alafu kumbuka wimbo wa kiba Views zilisimama kwa saa 24 namb haziongezeki zimeganda vilele then zikaja zikapungua.
umenioa
Kama nimekuoa
100%Laana ya Mzee wa Upako inawaandama Team Kiba.
Kukubali kushindwa kwenye masuala ya kibiashara ni udhaifu mkubwa sana hata Mungu hapendi.Team kiba hawawezi kufanikiwa mpaka wakubali kwanza kuwa WCB ni wakali zaidi yao!! Kukubali kushindwa ndo njia pekee ya kujipanga upya kimkakati na kuibuka upya kumkabili adui yako!
Kenya wamekubali kuwa music industry ya Bongo iko juu zaidi yao na wanajipanga upya
Yanga walikubali mapemaa msimu ulopita kuwa wapinzani wao simba wako vizuri kuliko wao
Liverpool walikubali kuwa Real Madrid ni mziki mwingine
Bro wangu kiba kubali tu Domo yuko vizuri kwa kila kitu kukuzidi wewe ili ujipange upya
Umesoma vizuri na kuelewa maana yangu!? Nimesema unapokubali unarudi kujipanga upya kwa mbinu bora zaidi, hata vitani jeshi kurudi nyuma haina maana ya kushindwa bali kujipanga upya kwa style aina za silaha na jinsi ya kushambuliaKukubali kushindwa kwenye masuala ya kibiashara ni udhaifu mkubwa sana hata Mungu hapendi.