Kukaja Kununu
JF-Expert Member
- Mar 27, 2017
- 1,075
- 1,204
Hatimaye msanii na mwanamuziki Ali Saleh Kiba amekuwa director (mkurugenzi) wa kampuni ya kusimamia mziki Afrika Rockstar 4000 na Rockstar television. Ali kapewa nafasi ya uongozi huo baada ya kuwa chini ya kampuni iyo kwa takriban miaka 6 ya mafanikio.