engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Jamani wana jf,hususani wale wa upande wa sports&Entertainment,umefika wakati sasa wa kuwapongeza wanamuziki wetu vijana pale wanapofanya vizuri hata kama wewe sio mshabiki wa mwanamuziki huyo
mimi kwa kweli natowa pongezi zangu za dhati kwanza kwa R Kelly mwenyewe,pili nawapongeza wanamuziki wote walioshilikiana na R kelly ktk wimbo wa HANDS ACROSS THE WORLD
Lakini natowa pongezi zangu za dhati kutoka moyoni kwa Kijana ALI KIBA kwani ametuwakilisha vizuri ktk nyimbo hiyo akiwepo na shemeji yetu Amani
Ali jayoooooooooooooooooo,kipaji unacho,kaza buti mkuu nafasi ni yakooooooooo
MAPINDUZIIIIII DAIMAAAAAAAA
mimi kwa kweli natowa pongezi zangu za dhati kwanza kwa R Kelly mwenyewe,pili nawapongeza wanamuziki wote walioshilikiana na R kelly ktk wimbo wa HANDS ACROSS THE WORLD
Lakini natowa pongezi zangu za dhati kutoka moyoni kwa Kijana ALI KIBA kwani ametuwakilisha vizuri ktk nyimbo hiyo akiwepo na shemeji yetu Amani
Ali jayoooooooooooooooooo,kipaji unacho,kaza buti mkuu nafasi ni yakooooooooo
MAPINDUZIIIIII DAIMAAAAAAAA