Ali Kiba Interview: Azungumzia wimbo wake mpya, kuchelewa kutoa nyimbo na bifu yake na WCB

Kibundi wa getto

JF-Expert Member
Sep 28, 2013
455
873
Akihojiwa na Planet Bongo,msanii Ali kiba amesema nyimbo ya [HASHTAG]#Seduce[/HASHTAG] #me ilitengenezwa miaka 2 iliopita katika studio ya Combinenga.

Ali kiba akiwa na Man Walter Ea radio amesema mashabiki wake walikua wanapresha kubwa ya kusubiri wimbo wake mpya,ili kuondoa panic kaamua kuachia kwanza Seduce me kwa kuzingatia ushauri wa Man Walter.

Sasa basi kasema mashabiki wake wasubiri ilo jiwe jipya,ambalo linakuja kukata Kiu yenu.



My take
Kama [HASHTAG]#Seduce[/HASHTAG] #me ni starter na imevunja rekodi kibao..je ilo dude itakuwaje....Tusubiri
 
Tupo vizuri
20902066_124542208191099_4249545800641675264_n.jpg

Mumeo ana shida sana

Lexus Mayai
 
Kiba yuko overrated sana, sio msanii mzuri kivile, wa kawaida sana. Ana bahati watanzania wengi tuna chuki na mafanikio ya mtu mwingine, ashukuru Mungu Diamond anafanikiwa sana kimuziki na sisi watanzania hatupendi mtu afanikiwe hivyo tunamsifia ili tu kumnunisha Diamond kwa sababu ya mafanikio yake.
 
Kiba yuko overrated sana, sio msanii mzuri kivile, wa kawaida sana. Ana bahati watanzania wengi tuna chuki na mafanikio ya mtu mwingine, ashukuru Mungu Diamond anafanikiwa sana kimuziki na sisi watanzania hatupendi mtu afanikiwe hivyo tunamsifia ili tu kumnunisha Diamond kwa sababu ya mafanikio yake.
Hayo ni mawazo yako tu. Mbona Mr nice alifanikiwa. Je, walimfananisha na nani ili kumnunisha?

By the way, kwenye interview yake hajazungumzia kuhusu mond. Ntie ndo msiopenda mwingine afanikiwe zaidi ya mond

Yaani mnataka mond tu ndo awe mfanikiwaji.

Ningekuona unaakili kama ungekua mshabiki wa christian Bella au rama dee au dogo aslay. Maana hawa naviona vipaji ndani yao..

Hicho ulichoandika wewe, kinaakisi kuwa upo team gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiba yuko overrated sana, sio msanii mzuri kivile, wa kawaida sana. Ana bahati watanzania wengi tuna chuki na mafanikio ya mtu mwingine, ashukuru Mungu Diamond anafanikiwa sana kimuziki na sisi watanzania hatupendi mtu afanikiwe hivyo tunamsifia ili tu kumnunisha Diamond kwa sababu ya mafanikio yake.
Diamond tatizo anatukana sana watu mitandaoni.........yaani uwaite watu vinuka chupi halafu hao hao ukitoa mwimbo unataka wakusapoti?....anguko lake limeshafika
 
Diamond tatizo anatukana sana watu mitandaoni.........yaani uwaite watu vinuka chupi halafu hao hao ukitoa mwimbo unataka wakusapoti?....anguko lake limeshafika
Kama alipandishwa na wanuka chupi basi watamshusha............................. Hivi inakuaje mtu unavaa chupi hadi inanuka mkojo?? si ufue chupi yako isinuke mkojo
 
Hayo ni mawazo yako tu. Mbona Mr nice alifanikiwa. Je, walimfananisha na nani ili kumnunisha?

By the way, kwenye interview yake hajazungumzia kuhusu mond. Ntie ndo msiopenda mwingine afanikiwe zaidi ya mond

Yaani mnataka mond tu ndo awe mfanikiwaji.

Ningekuona unaakili kama ungekua mshabiki wa christian Bella au rama dee au dogo aslay. Maana hawa naviona vipaji ndani yao..

Hicho ulichoandika wewe, kinaakisi kuwa upo team gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo aslay yupo viZuri mno basi tu
 
Kiba yuko overrated sana, sio msanii mzuri kivile, wa kawaida sana. Ana bahati watanzania wengi tuna chuki na mafanikio ya mtu mwingine, ashukuru Mungu Diamond anafanikiwa sana kimuziki na sisi watanzania hatupendi mtu afanikiwe hivyo tunamsifia ili tu kumnunisha Diamond kwa sababu ya mafanikio yake.
Sio kweli kwamba watanzania hatupendi kuona mtu anafanikiwa lahasha. Kinachokwaza kwa wasanii wetu ni akifanikiwa kidogo matako hulia mbwata na kujiona ye ndio yeye ndio mana waliompandisha wanafanya juhudi zote kumshusha . Huyo msanii wako mwambie ajifunze kua humbled kila mtu atamkubali mbona anajua sana kuimba.
If that is the case mbona yule bongo move marehemu alikua anafanikiwa sana tena sana tu lakini bado alikua na washabiki kibaao wala hakuna aliyekua anamdiss kutokana na mafanikio yake?
 
Hayo ni mawazo yako tu. Mbona Mr nice alifanikiwa. Je, walimfananisha na nani ili kumnunisha?

By the way, kwenye interview yake hajazungumzia kuhusu mond. Ntie ndo msiopenda mwingine afanikiwe zaidi ya mond

Yaani mnataka mond tu ndo awe mfanikiwaji.

Ningekuona unaakili kama ungekua mshabiki wa christian Bella au rama dee au dogo aslay. Maana hawa naviona vipaji ndani yao..

Hicho ulichoandika wewe, kinaakisi kuwa upo team gani

Sent using Jamii Forums mobile app
Thankxxx

Sent using Jamii Forums mobile app
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom