Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Kwanini imefutwa.. Japo ni wimbo wa kipuuzu sana
Hata sijajua ila mashabiki wengi walikoment negativelyKwanini ilifutwa?
Viuno vidogo wanataka pensi ya Pepe KaleKwenye mbuga za Tandale wanaforce tuwe saresare.
Labda kwa sababu ni ya kipuuzi.Kwanini imefutwa.. Japo ni wimbo wa kipuuzu sana
Comment nyingi zilikuwa zinamtukana matusi yanguoni na ya wazaziKwanini imefutwa.. Japo ni wimbo wa kipuuzu sana
Ule Mkono wa Diamond pale Leaders umeondoka na nyota ya mtu😂😂😂Kiuno kidogo cha Ali Kiba chashindwa kuvaa Pensi ya Pepe Kale, aufuta wimbo wake mpya Youtube.
Ali Kiba aliachia wimbo huo usiku wa kuamkia leo Jumatano hii baada ya kukaa muda mrefu bila kuachia kazi.
Hata hivyo baada ya kuachia wimbo huo, mashabiki walionekana kutoridhishwa na kazi hiyo huku wengine wakidai kwamba wimbo huo ameuridia wimbo wake wa zamani.
Soma>Wimbo mpya wa Ali Kiba 'Hela' - JamiiForums
Ahsante umesaidia kuiona, umefanya vizuri kuifadhiPlease mods msiunganishe uzi huu
Nimeshangaa sana kijana kaweka video yake youtube then baadae kaifuta, kwa bahati nzuri niliishusha na nimeiweka hapa muitazame
SHUSHA VIDEO HAPA>> DOWNLOAD VIDEO, 12 MB
Si angeblock tu commentsComment nyingi zilikuwa zinamtukana matusi yanguoni na ya wazazi
Usituletee siasa kwenye jukwaa letu pendwa tafadhaliHao wasanii wa bongo flavour na Bongo movie wote wamekaa kiCCM sana. Kwa jinsi walivyokuwa wakiipamba CCM kwenye majukwaa 2015 ili kuwatapeli watanzania, nikiona wanaanguka kimuziki huwa nafurahi sana na kupata faraja sana.
Na bado, wote watakwisha kabisa. Mmoja mmoja. Kama sio kufirisika, wataishia kupigwa miti au kubwia unga.