Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,305
Leo ndo ile siku mfalme wa Bongo ata toa tamko rasmi,Na wadau wengi hatujui ni tamko gani ila ina semekana anataka kuzungumzia inshu ya kuibiwa penseli na mchiz wa tandale,,"inasemekana lakini" Hili tamko la mfalme litaruka live kupitia EATV na East africa Radio.