brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,268
watu mna manenoHongera Kiba kwa
1. kutekeleza kauli ya Rais ya kufyatua tu.
2. kutekeleza kauli ya Tanzania ya viwanda maana hapo tayari una kiwanda kimoja ..(rejea kauli ya vyerehani 4 kiwanda kimoja ) kwa hapo unabaki na mmoja wa salio kwaajili ya kumtuma uzi na vitambaa.