Ali Kiba akijipanga hii nyimbo hata FIFA wanampa hela for World Cup 2022

Nakubali hakuna linaloshidikana ila kwa muziki wetu kwenye soko lilivyokaa kutoboa kwenye world cup 2022 ni ngumu, wa Nigeria nao wana lobbyist wao na wamefanikiwa kuaminisha ulimwengu kuwa ukija Africa mziki mzuri utakaoukuta ni ule wanaoimba, Ali Kiba kwa album yake hii alistahili angalau hata wimbo mmoja upenye Billboard hot 100 lakini ni ngumu sana kwa hilo kutokea, sasa hivi Nigeria wana Wizkid Essence # 11 na Ckay Love Nwantiti #50, ila Ali Kiba akikaa nao hao kina Wizkid, Ckay, Burna Boy etc. studio ana uwezo wa kwenda nao spidi moja kama sio kuwakalisha kabisa, ila ndio hivyo soko waliolishikilia ni wengine.
nahisi hawa wakenya yule mhindi wa kenya nafikiri wanaitwa ziki music ndiyo wana i promote labda this time atafika mbali, hata mastering imekuwa bomba sana kazi ina quality kubwa
 
ushahamisha goli
Sijahimisha chochote ujumbe wapost yangu Ni kwamba tukimkosoa mtu sio kwamba tunamzidi..nimetoa mfano mashabiki wa soka wanapomkosoa kocha wa Man U-ole..sio kwamba mashabiki wote Ni makocha wa wazuri kuliko yeye..
Mimi pia Ni shabiki wa kiba tena sana..nitendelea kumkosoa japo simzidi kitu..
 
Sijajuaga huyu mtu anafeligi wapi sijui hana watu wa PR and Marketing, albamu yake iliyotoka jana ni kali sana mnoooo ila hili song akituliza kichwa akajipanga na kufanya lobbying linampeleka kimataifa kabisaaaaaaa hata FIFA wanaweza kulitumia katika orodha ya anthems za World Cup 2022.


Okay
 
Back
Top Bottom