Mange kazemaaaaNasikia ana dharau sana ndiyo maana hawezi kaa na mameneja ila hii albamu akijipanga akapata watu wa lobbying inampeleka mbali sana otherwise sidhani kama atakuja kufanya albamu tamu hivi, nyimbo zote ni moto, beats zimetulia kibongo fleva kabisa
Maajabu sana jamaniKasha chungulia future ya kiba teyari mungu mtu huyo 😆😆😆
Nchi kama Tanzania inabidi kujivunia sana kuwa na mwanamuziki kama ALIKIBA.Sijajuaga huyu mtu anafeligi wapi sijui hana watu wa PR and Marketing, albamu yake iliyotoka jana ni kali sana mnoooo ila hili song akituliza kichwa akajipanga na kufanya lobbying linampeleka kimataifa kabisaaaaaaa hata FIFA wanaweza kulitumia katika orodha ya anthems za World Cup 2022.
Huu sasa ni umbeaAah,hatari, anakula bange vibaya sanaaaa
Nasikia ana dharau sana ndiyo maana hawezi kaa na mameneja ila hii albamu akijipanga akapata watu wa lobbying inampeleka mbali sana otherwise sidhani kama atakuja kufanya albamu tamu hivi, nyimbo zote ni moto, beats zimetulia kibongo fleva kabisa
Wewe usiye mshamba umefika wapi? na unamjadili mshamba???Kiba Ni mtaalamu wa kuimba lakini mshamba Sana..pamoja na uzuri wa album hii.. lakini utashangaa kitakachotokea
We ni mtu wa magu au msengerema unapakumbuka magu au aunamkumbuka magu? umepotea thread mkuuwewe usiye mshamba umefika wapi? na unamjadili mshamba???
Ni mtu mwenye majivuno sana,hana exposure kabisa na anajifanya anajya kila kitu,hawapi fursa mameneja wake kufanya kazi za in a professional waySijajuaga huyu mtu anafeligi wapi sijui hana watu wa PR and Marketing, albamu yake iliyotoka jana ni kali sana mnoooo ila hili song akituliza kichwa akajipanga na kufanya lobbying linampeleka kimataifa kabisaaaaaaa hata FIFA wanaweza kulitumia katika orodha ya anthems za World Cup 2022.
Mi tayari nashangaa kiNAchotokea.Kiba Ni mtaalamu wa kuimba lakini mshamba Sana..pamoja na uzuri wa album hii.. lakini utashangaa kitakachotokea
Huyo anasokota ule wenyewe wanaita mfamtomu, boongee la msokoto 🈲Duuuh! ndumu tena?
huwa kunakuwaga na nyimbo kadhaa kila world cup kutumika kama Fifa anthems , sytyle wanyopendelea ni kama hiziNgoma nzuiri, ila Hii nyimbo inaingia vipi Fifa mkuu?
Chief nahisi wewe ndio husikii.. kwani hujaona hii album imeishusha CLB ya Drake huko Apple tena duniani.. unajua ina streams ngapi mpaka sasa audiomack na spotify? Hujaona cover album imepostiwa times square new york unapajua Times square lakini?Mi tayari nashangaa kiNAchotokea.
Album kali mno ila haipo haipo kwneye platforms, radio stations, clubs, ringtones kwa simu za watu.
Ilibidi tuwe na anthem itukere masikioni.
Well sijui, labda ni mapema sana.
Wacha tuone.
Ila Kiba ni King kweli, mjinga ana sauti bana!!
Acha uongo wewe Knaan alihamia New York akiwa na miaka 13 pamoja na familia yake, baadaye wakahamia Toronto, wimbo wa Wavin Flag uliandaliwa kwa ajili ya album yake inayoitwa Troubadour, album ambayo ilikuwa chini ya record label ya A&M/Octone ambayo ilikuwa chini ya Universal Music Group, umeelezea kama vile aliokota tu dodo chini ya mnazi, haiko hivyo kwenye music industry !ishindikane vipi K naan alikuwa ana hustle tu hapo nairobi msomali yule lakini nyimbo yake ilikuwa kwenye anthems za world cup 2010, ukijua nyimbo za world cup huwa zikoje hautapata tabu kabisa
Dunia imekuwa ndogo sana ndugu yangu ukiwa na right lobbyists hakuna kinachoshindikana siku hizi, ni kuwa optimistic tu, uandhani kwa mfano kama Mo dewji alivyo karibu na Infantino rais wa Fifa akammsikilizisha na kupitch idea kwamba hiyo nyimbo itumike kwenye anthems za world cup 2022 hata kama ni lyrics kuwa modified au hata ikishindikana itumike Afcon 2022 , hakuna kinachoshindikana narudia tenaAcha uongo wewe Knaan alihamia New York akiwa na miaka 13 pamoja na familia yake, baadaye wakahamia Toronto, wimbo wa Wavin Flag uliandaliwa kwa ajili ya album yake inayoitwa Troubadour, album ambayo ilikuwa chini ya record label ya A&M/Octone ambayo ilikuwa chini ya Universal Music Group, umeelezea kama vile aliokota tu dodo chini ya mnazi, haiko hivyo kwenye music industry !
Rapper K'Naan's Wavin' Flag in World Cup triumph
K'Naan explains how he went from narrowly escaping a life of war in Somalia to scoring the signature anthem of the World Cup.www.bbc.com
Nakubali hakuna linaloshidikana ila kwa muziki wetu kwenye soko lilivyokaa kutoboa kwenye world cup 2022 ni ngumu, wa Nigeria nao wana lobbyist wao na wamefanikiwa kuaminisha ulimwengu kuwa ukija Africa mziki mzuri utakaoukuta ni ule wanaoimba, Ali Kiba kwa album yake hii alistahili angalau hata wimbo mmoja upenye Billboard hot 100 lakini ni ngumu sana kwa hilo kutokea, sasa hivi Nigeria wana Wizkid Essence # 11 na Ckay Love Nwantiti #50, ila Ali Kiba akikaa nao hao kina Wizkid, Ckay, Burna Boy etc. studio ana uwezo wa kwenda nao spidi moja kama sio kuwakalisha kabisa, ila ndio hivyo soko waliolishikilia ni wengine.Dunia imekuwa ndogo sana ndugu yangu ukiwa na right lobbyists hakuna kinachoshindikana siku hizi, ni kuwa optimistic tu