Alfred Ngowi
Member
- Jan 8, 2012
- 50
- 4
Wadau kuna tetesi kwamba Bwana Karavina alitolewa pale PSRC ya zamani kwasababu ya ufisadi wa National Insurance.. na taarifa zilizopo mitaani zinasema ni rafiki wa wakubwa.. ndio wamlindao.. ni kweli haya wadau?? anayejua atupe habari..