Ali Hassan Mwinyi: Utawala wa Magufuli unatakiwa uwe wa milele

NI MTAZAMO TU

JF-Expert Member
Feb 20, 2014
1,203
998
Alianza Kwa kusema utawala au kuwa Rais wa nchi sio lelemama ni kazi ngumu ambayo utakosolewa na kila mwenye mlengo wa kushoto nawe.

Pili: ingekuwa Sio katiba ingelifaa andelee kutawala miaka kumi zaidi, ila waislam wenzangu tatizo katiba.

Tatu: Naombeni sana wale wenye mapenzi mema na nchi hii kwanza tumuombee Kwa kazi kubwa aliothubutu kuifanya na zaidi sana hebu tumpeni Support.

Chanzo ni kila muislam aliye swali mnazi mmoja kariakoo

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amesema kama si utawala wa katiba uliopo nchini, utawala wa Rais John Magufuli ulipaswa kuendelea kuwepo miaka yote.

Mwinyi ameyasema hayo leo (Jumatatu) wakati akitoa salam za Eid El Fitr katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.

Amesema anayoyafanya Rais Magufuli ni mambo mazuri na kwamba kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kulipeleka taifa mahali kuzuri.

"Amelipeleka taifa mahali kuzuri, anerudisha nidhamu, sasa hivi ukienda hospitali unapata huduma vizuri, ukienda kwenye ofisi unapata huduma nzur," amesema. "Yako mengi mzuri, tumuunge mkono Rais wetu, kama isingekuwa katika basi ningesema aendelee kuongoza mpaka mwisho," ameongeza.
 
Haya mambo bhana..

Mzee wa watu akae tu aendelee kula mema ya nchi yake na wanawe....

Maana yeye anajiona kama alibahatika kuzaa viingozi tu.....
Mzee Nyerere yeye waaalaa.... Alaf anataka angeongezewa....
Alaf leo anaLaum watu wa msikitini wakati utawala wake na wa jk pekee ndio tawala zilizotaka kutengeneza tawala za kifalme!

Dunia kwel mapito
 
Naona amesahau kile kibao alichopewa kipindi cha nyuma kwenye maadhimisho ya maulidi day huyu babu mkumbusheni kuwa waislamu sio watu wa kuwahubiria mambo ya siasa kwenye mikusanyiko ya imani huwa ni wepesi wa kufanha jambo wanapoona unaenda tofauti. akumbuke tukio la kibao
 
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amesema kama si utawala wa katiba uliopo nchini, utawala wa Rais John Magufuli ulipaswa kuendelea kuwepo miaka yote.

Mwinyi ameyasema hayo leo (Jumatatu) wakati akitoa salam za Eid El Fitr katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.

Amesema anayoyafanya Rais Magufuli ni mambo mazuri na kwamba kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kulipeleka taifa mahali kuzuri.

"Amelipeleka taifa mahali kuzuri, anerudisha nidhamu, sasa hivi ukienda hospitali unapata huduma vizuri, ukienda kwenye ofisi unapata huduma nzuri," amesema. "Yako mengi mzuri, tumuunge mkono Rais wetu, kama isingekuwa katiba basi ningesema aendelee kuongoza mpaka mwisho," ameongeza.

NATAFAKARI ....!!

Je hizi ni sifa za kweli ???
Je Taifa linaelekea wapi ???
CCM Washabadilisha Katiba yao , Je haya ni maandalizi ya kubadilisha Katiba ya Taifa ???

Natafakari tu.......!
 
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amesema kama si utawala wa katiba uliopo nchini, utawala wa Rais John Magufuli ulipaswa kuendelea kuwepo miaka yote.

Mwinyi ameyasema hayo leo (Jumatatu) wakati akitoa salam za Eid El Fitr katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.

Amesema anayoyafanya Rais Magufuli ni mambo mazuri na kwamba kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kulipeleka taifa mahali kuzuri.

"Amelipeleka taifa mahali kuzuri, anerudisha nidhamu, sasa hivi ukienda hospitali unapata huduma vizuri, ukienda kwenye ofisi unapata huduma nzur," amesema. "Yako mengi mzuri, tumuunge mkono Rais wetu, kama isingekuwa katika basi ningesema aendelee kuongoza mpaka mwisho," ameongeza.
 
Haya mambo bhana..

Mzee wa watu akae tu aendelee kula mema ya nchi yake na wanawe....

Maana yeye anajiona kama alibahatika kuzaa viingozi tu.....
Mzee Nyerere yeye waaalaa.... Alaf anataka angeongezewa....
Alaf leo anaLaum watu wa msikitini wakati utawala wake na wa jk pekee ndio tawala zilizotaka kutengeneza tawala za kifalme!

Dunia kwel mapito
Point.... yeye wanae wana akili ya uongozi kuzidi wa nyerere na watz wengine.... ana miaka zaidi ya 93 anapalilia future ya vijukuu maana watoto kaisha fanikiwa... ukila na kipofu usimshike mkono.....
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom