sostenes mbwelwa
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 289
- 138
Nisahihi kibisa
Nadhani watu wanashindwa kuiona busara ya Mzee Mwinyi hapa!!Pili: ingekuwa Sio katiba ingelifaa andelee kutawala miaka kumi zaidi, ila waislam wenzangu tatizo katiba.
Hichi kizee kitakuwa kinatafuta wakumfia.Naona amesahau kile kibao alichopewa kipindi cha nyuma kwenye maadhimisho ya maulidi day huyu babu mkumbusheni kuwa waislamu sio watu wa kuwahubiria mambo ya siasa kwenye mikusanyiko ya imani huwa ni wepesi wa kufanha jambo wanapoona unaenda tofauti. akumbuke tukio la kibao
wewe na wenzako mliomshutumu mwinyi kumbe bado mna akili ndogo sana...amekuzidini mwinyi mara kumi zaidi.Naona babu sasa umri umeshaanza kumpeleka kubaya...
Mwinyi kwenda nje ni matibabu na kuhiji tu,hana ujumbe wa UN wala usuluhishi.Muache mzee wetu atumie haki yake ya kikatibaMmmh huyu mzee naona kibali chake cha kusafiri nje ya nchi kimekubaliwa
Ukizeeka sana na akili zinaishaNaona babu sasa umri umeshaanza kumpeleka kubaya...
Hizi nchi 4 zinashida sana ukitoa Kenya.Atawale tu hata miaka mia akipenda,,,,maana Naona wanataka Tz iwe kama Rwanda au Uganda, ,,tuwe na ....kt....wetu nasisi
Anataka kujivunjia heshima bure huyu mzee....
Aliye sema nchi inaenda kama gari lililopoteza muelekeo ni nani!!??
Mlishangilia sana siku ile aliposema nchi inaendeshwa kama gari bovuMmmh huyu mzee naona kibali chake cha kusafiri nje ya nchi kimekubaliwa
Hata siku ile aliposema nchi inaenda kama gari bovu ilikuwa kampeni ama sivyo?Hii ni kampeni ya kutaka bwana yule aongezewe muda.