Ali Hassan Mwinyi : Mzee rukhsa Safari ya Maisha Yangu

ALI HASSAN MWINYI: MZEE RUKHSA SAFARI YA MAISHA YANGU

Bi Lucie wa Mkuki na Nyota Wachapaji wa kitabu hiki amenifahamisha kuwa mimi hapo dukani kwao ni mtu wa pili kununua kitabu hiki.

Mtu wa kwanza yeye alilipia nakala yake kabla ya uzinduzi wa kitabu jioni hii leo.

Kitabu kimenifikia nyumbani baada ya kumaliza kufuturu tukiwa gizani ila kwa mwanga hafifu wa mishumaa kwani umeme ulikuwa umekatika.

View attachment 1777841

View attachment 1777850
Mzee mwinyi, raisi bora kuwahi kutokea tz. Anashika no. 1 akifuatiwa na kikwete, no 3 mkapa. Nne na 5 simalizii, naona mama anakuja kasi kuna watu watapitwa soon. Sina haja ya kuwataja
 
Waandishi mashuhuri wa vitabu hapa bongo baada ya kuviandika huwa mungu anawachukua sijui kuna nini hapa katikati hata mimi sielewi,mifano yangu hii hapa.....
1.Mengi

2.Mkapa

3 ...........Loading.
 
Kuna muda Hadi mtu unabaki unashangaa Yani..tangu magu amekufa ndy nimebaini siasa ni Imani Kama km Imani zingine tu.Imani inabeba misimamo.mtu anabeba chuki juu ya mwanasiasa fulani na mwingine anampenda huyo mwanasiasa kiasi kwamba wote wanakuwa vipofu,mmoja anapinga mwingine anasifia kila lifanywalo na huyo mwanasiasa hata liwe Baya vipi

Sasa Kwa huyo jamaa yeye ameamua kuwa upande wa chuk Kwa mwendazake..Hata sasa mwendazake hayupo lkn bado wanamuatack Hadi akiwa kaburini huku wanasahau siku moja nao watakuwa usawa wa futi sita chini ya ardhi
Msiliogope kaburi lakini pia msilidhihaki kaburi
 
Kuna muda Hadi mtu unabaki unashangaa Yani..tangu magu amekufa ndy nimebaini siasa ni Imani Kama km Imani zingine tu.Imani inabeba misimamo.mtu anabeba chuki juu ya mwanasiasa fulani na mwingine anampenda huyo mwanasiasa kiasi kwamba wote wanakuwa vipofu,mmoja anapinga mwingine anasifia kila lifanywalo na huyo mwanasiasa hata liwe Baya vipi

Sasa Kwa huyo jamaa yeye ameamua kuwa upande wa chuk Kwa mwendazake..Hata sasa mwendazake hayupo lkn bado wanamuatack Hadi akiwa kaburini huku wanasahau siku moja nao watakuwa usawa wa futi sita chini ya ardhi
Magufuli hakuwa mwanasiasa Bali alikuwa jamaa asiye na utu hata kidogo.
 
Sawa kabisa .lakini ameenda kumsemasema kila muda haitasaidia chochote,mwanaume analalamika mara moja kisha maisha yanaendelea
Ubaya wake lazima usemwe hata kama miaka mia tano ijayo.

Hii ndiyo legacy aliyoiacha itaishi Milele tutaendelea kuiandika ili kukiponya kizazi kijacho kuongozwa na watu aina yake.
 
Hongera.

Sasa kisome halafu utuletee Muhtasari..
Na wewe si usome ili mijadala iwe balanced? Hizi habari za kusimuliana zimepotosha mambo mengi sana. Ingewezekana kila mtu aandike vitabu kama hivi ili kuondoa kokoro
 
Mzee mwinyi, raisi bora kuwahi kutokea tz. Anashika no. 1 akifuatiwa na kikwete, no 3 mkapa. Nne na 5 simalizii, naona mama anakuja kasi kuna watu watapitwa soon. Sina haja ya kuwataja
Kweli. Tuache utani, kumwacha mwl Nyerere
 
Back
Top Bottom