Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,900
- 30,235
ALI HASSAN MWINYI: MZEE RUKHSA SAFARI YA MAISHA YANGU
Bi Lucie wa Mkuki na Nyota Wachapaji wa kitabu hiki amenifahamisha kuwa mimi hapo dukani kwao ni mtu wa pili kununua kitabu hiki.
Mtu wa kwanza yeye alilipia nakala yake kabla ya uzinduzi wa kitabu jioni hii leo.
Kitabu kimenifikia nyumbani baada ya kumaliza kufuturu tukiwa gizani ila kwa mwanga hafifu wa mishumaa kwani umeme ulikuwa umekatika.
Bi Lucie wa Mkuki na Nyota Wachapaji wa kitabu hiki amenifahamisha kuwa mimi hapo dukani kwao ni mtu wa pili kununua kitabu hiki.
Mtu wa kwanza yeye alilipia nakala yake kabla ya uzinduzi wa kitabu jioni hii leo.
Kitabu kimenifikia nyumbani baada ya kumaliza kufuturu tukiwa gizani ila kwa mwanga hafifu wa mishumaa kwani umeme ulikuwa umekatika.