...Mwinyi mwaka 1985 ulipoingia ulikuta BoT kumekauka hakuna hazina ukaanzisha utaratibu wa kununua Gold ili kuwa hazina ya Taifa
...Ulikuta watu wako hawana nguo, vyombo, TV, (maisha ya kijima) ukaruhusu (ruksa) biashara halali watu wenye uwezo wakaanza kufanya biashara taifa likapata neema watu wakaneemeka
...Shule ulikuwa lazima "UCHAGULIWE" ukaruhusu shule binafsi watu wengi tukasoma...kumbe wengi tulikuwa tunafaulu..bana (umeondoa pazia la ujinga na ubaguzi wa ki-elimu
...Wote wanaondika hapa JF ni kazi yako, uliruhusu passport kutolewa siyo kwenda East na West pia..watu tukasafiri tukasoma, tukapata maarifa..
Ali Hassan Mwinyi you are humble and WISE.
...Ulikuta watu wako hawana nguo, vyombo, TV, (maisha ya kijima) ukaruhusu (ruksa) biashara halali watu wenye uwezo wakaanza kufanya biashara taifa likapata neema watu wakaneemeka
...Shule ulikuwa lazima "UCHAGULIWE" ukaruhusu shule binafsi watu wengi tukasoma...kumbe wengi tulikuwa tunafaulu..bana (umeondoa pazia la ujinga na ubaguzi wa ki-elimu
...Wote wanaondika hapa JF ni kazi yako, uliruhusu passport kutolewa siyo kwenda East na West pia..watu tukasafiri tukasoma, tukapata maarifa..
Ali Hassan Mwinyi you are humble and WISE.