Nimejaribu kufanya hiyo na namba niliyoikuta nikijaribu kupiga anapokea mtu mwingine anadai hausiani na hayo mambo ya shule ni kwamba namba hiyo itakua imegaiwa mara 2 yan kwa watu 2 tofauti. Ndomana nikalileta humu uenda kuna mwanaJF anamtoto, ndugu au jamaa yupo pale nikaweza kupata mawasiliano hayo. Asante kiongozi kwa ushaur huoMsaada wa kwanza ungetumia simu yako Google ili upate details zao zaidi
Huo ndiyo msaada wangu kwako