kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Shalom wapendwa
Asallam aleykum/Bwana yesu asifiwe
Mlio na mfungo hongereni na mzidi kukaza mwendo na kumcha mungu..
Twende kwa mada
Upinzani na demokrasia umeteseka sana nchi toka pombe awe rais kwa takriban miaka mitatu imegeuka miaka michungu mnoo na mibaya democracy ikifa ila nawaambia mungu si athumani..Matumaini yameanza kuonekana niliwaambia kuna thread niliwahi kuileta humu humu kwamba kabla ya 2020 magufuli ataanza kuporomoka na kuf ififia
Ila mungu ni mkali jamani amemdhihirisha tukaona rangi yake halisi
1.ufisadi
2.Dikteta
3.Mkabila
4.Makiburi
5.msema hovyo
6.Asiye na utu
7.Adui wa democracy
8.muongo asiye na kumbukumbu
9.mbinafsi
10.Asiye na A wa B za kuhusu uchumi na maendeleo
Harakati na matumaini yameanza kuonekana kwamba democracy na uhuru utapatikana nasema hivi kutokana na mwamko wa jamii watu na wanaharakati waliombinya kila kona yaani awamu hii kashikwa kisawa sawa apumui wala haguni...
Akichomeka wanachomoa 2020 yatatokea maajab nchi hii hata tume ikiwa ni ccm 100% ya venezuela yatakukuta mzee baba maana nchi nyingi zimeshakusimamia kucha
Asallam aleykum/Bwana yesu asifiwe
Mlio na mfungo hongereni na mzidi kukaza mwendo na kumcha mungu..
Twende kwa mada
Upinzani na demokrasia umeteseka sana nchi toka pombe awe rais kwa takriban miaka mitatu imegeuka miaka michungu mnoo na mibaya democracy ikifa ila nawaambia mungu si athumani..Matumaini yameanza kuonekana niliwaambia kuna thread niliwahi kuileta humu humu kwamba kabla ya 2020 magufuli ataanza kuporomoka na kuf ififia
Ila mungu ni mkali jamani amemdhihirisha tukaona rangi yake halisi
1.ufisadi
2.Dikteta
3.Mkabila
4.Makiburi
5.msema hovyo
6.Asiye na utu
7.Adui wa democracy
8.muongo asiye na kumbukumbu
9.mbinafsi
10.Asiye na A wa B za kuhusu uchumi na maendeleo
Harakati na matumaini yameanza kuonekana kwamba democracy na uhuru utapatikana nasema hivi kutokana na mwamko wa jamii watu na wanaharakati waliombinya kila kona yaani awamu hii kashikwa kisawa sawa apumui wala haguni...
Akichomeka wanachomoa 2020 yatatokea maajab nchi hii hata tume ikiwa ni ccm 100% ya venezuela yatakukuta mzee baba maana nchi nyingi zimeshakusimamia kucha