Alhaji Sheikh Ponda: Game Changer kwa kura za Waislamu

Acha kujidanganya mwenyew we zumbukuku
tatizo mnapost vitu bila kufanya utafiti
sheikh ponda na sheikh Rajabu katimba kwa sasa katika uislam awana jpya
waislam hivi sasa wanatumia taranta tofauti kakika harakati za kiislam
wao masheikh wenu wawili ponda na katimba ni masheikh dili (mission town
waislam hivi sasa na ponda ni kama bange na polisi
ponda alikuwa mwembechai baadae mtambani kisha harakati zikaamia tungi temeke
baada ya ponda waislam kumpigania kwa hali na mali alivyokuwa jela siku ya kuachiwa huru pale morogoro siku hiyo hiyo akawaacha waislam kwenye mataa akaungana na chadema pale morogoro na kupanda magari ya chadema
waislam nao wakamzalau pale pale na ponda kuonekana kachagua siasa badala ya DINI
uwenda ulikuwa haujui sasa nakujulisha leo ponda yule katika harakati za kislam mbaka ponda huyu msaka tonge katika majukwaa ya siasa
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Shehe Ponda hamzidi umaarufu shehe msomi Dr alhad Musa Salum wa Bakwata ambaye jana amepongezwa na Marekani.

Maendeleo hayana vyama!
Acha utoto wakimama wewe nenda mtaa kaulize kati ya ponda na huyo kibaraka wenu nani anajulikana..
Huyo anajulikana kwanafasi yake ya kicheo na serikali ndio wanamjua lakini kitaani watu wana mjua ponda kwakuwa yeye alijitolea kuwasemea waislam waishio tanzania au hujui historia yake.
Ponda anajulikana na hata wakristo na dini nyengine sasa husho shehe wako nani anaye mjua.acha utahira kiazi wewe..
 
tatizo mnapost vitu bila kufanya utafiti
sheikh ponda na sheikh Rajabu katimba kwa sasa katika uislam awana jpya
waislam hivi sasa wanatumia taranta tofauti kakika harakati za kiislam
wao masheikh wenu wawili ponda na katimba ni masheikh dili (mission town
waislam hivi sasa na ponda ni kama bange na polisi
ponda alikuwa mwembechai baadae mtambani kisha harakati zikaamia tungi temeke
baada ya ponda waislam kumpigania kwa hali na mali alivyokuwa jela siku ya kuachiwa huru pale morogoro siku hiyo hiyo akawaacha waislam kwenye mataa akaungana na chadema pale morogoro na kupanda magari ya chadema
waislam nao wakamzalau pale pale na ponda kuonekana kachagua siasa badala ya DINI
uwenda ulikuwa haujui sasa nakujulisha leo ponda yule katika harakati za kislam mbaka ponda huyu msaka tonge katika majukwaa ya siasa
Ha ha ha ha aaaa sasa kati ya Ponda na Alhadi nani masaka tonge

Ha ha ha haaaaaaa kwishaaaaaa yani hilo linaitwa bao la kisigino wenyewe mmeanzisha kushirikisha dini sasa tulieni mzae

Hakuna Muslim mwenye akili zake akawasikiliza BAKWATA hata siku moja
 
Mimi nipo kwenye group la masheik hawamtambui huyo Ponda na wala hata sidhani kama kuna atayekwenda kupiga kura kwa influence yake.
Hao labda wa BAKWATA na waji.nga waji.nga kama Alhaji Mussa
 
Mimi nipo kwenye group la masheik hawamtambui huyo Ponda na wala hata sidhani kama kuna atayekwenda kupiga kura kwa influence yake.
Dogo kunywa maji ukakojoe...maalim Issa Ponda mpaka vitoto mtaani wanamjua.labda hilo group lenu la mashehe wanao subili mchele halusini.
 
Naona uwezekano mkubwa wa Lissu kuwekewa pingamizi jingine alafu wampe adhabu nyingine ya kutofanya kampeni ili asiweze kumalize ratiba yake kama alivyoipanga.

Lissu anapanga kuingia kwenye siku ya uchaguzi kwa momentum kubwa, sioni jinsi nyingine
ambayo CCM wanaweza kushindana nayo.
 
Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami... Sheh Ponda ana command kubwa kwa waislamu kuliko BAKWATA....

CCM tushafanya a big mistake kwa kweli....

Suala la pili ni Lisu kumaliza kampeni Dar es Salaam. Wakati Mgombea wetu tarehe hiyo 27 atakuwa mapumnziko Chamwino... Yaani Lisu kumaliza mziki Dar is another disaster... Itakuwa ni funga kazi na atakomba kura zote Mlm 3 za Dar..

NB:.. Bashiru na Pole Pole lazima tuwambie ukweli. Hizi kampeni za safari hii mmechemsha sana sana. Mlijua kabisa nyie ni wageni wa kuja, hamjawahi kushiriki uchaguzi wowote ule toka mzaliwe hata wq serikali ya kijiji, mkajifanya mnajua kila kitu na kuminya wengine wenye ushawishi ndani ya Chama. Sasa angalieni matokeo yake.

Kwa mara ya kwanza Rais aliyeko madarakani tokea tupate uhuru anaandaliwa speech mbili. Ya kushukuru kwa ushindi na at the same time anandaa speech ya kukubali kushindwa... You have really put us in a mess You two people... Tukivuka hili, basi mjiandae kabisa na mfunge kabisa mabegi yenu. Hatuwezi kukubali kuingia na nyie tena katika uchaguzi wa 2022 na 2025.... Kama TUKISHINDA ingawa sioni dalili
Kuna waislamu wa huko rufiji, mkuranga, kibiti, lindi na mtwara ambao ni loyal kwa ponda alafu kuna waislamu wa tanga, tabora, ma sehemu zingine za tanzania ambao ni wa bakwata...
Hizi hesabu sijui mnasipiga pia..
 
Mimi nipo kwenye group la masheik hawamtambui huyo Ponda na wala hata sidhani kama kuna atayekwenda kupiga kura kwa influence yake.

Toka lini masheikh wa Bakwata ambao ni ccm wakamtambua Ponda? Watu wanazungumzia waisilamu ww unaongelea group la masheikh. Lakini bila machafuko sioni box la kura likitoa mshindi halali.
 
Kwa hiyo, tusikubali kutoka vituoni baada ya kupiga kura ili kulinda kura fake zisiingizwe. Mawakala peke yao hawawezi kusimamia UHUJUMU huu.
Umesomea mambo ya ulinzi?

Unapolinda utasimama wapi? Hiyo ardhi mwenyewe kakupa kibali kusimama kwenye ardhi yake?
 
Kuna waislamu wa huko rufiji, mkuranga, kibiti, lindi na mtwara ambao ni loyal kwa ponda alafu kuna waislamu wa tanga, tabora, ma sehemu zingine za tanzania ambao ni wa bakwata...
Hizi hesabu sijui mnasipiga pia..
Dodoma wengi wa waislamu ni wa Bakwata Lisu naona kaamua kuwadharau kwa kuwaletea mtu anayewadharau huyo Shehe Ponda
 
TISS wameweka kambi Mbweni ambako wana print kura FAKE zioatazo Milioni 4. Hizo kura zitaingizwa kwenye masanduku ya vituo vya Dar es Salaam.

Kwa hiyo, tusikubali kutoka vituoni baada ya kupiga kura ili kulinda kura fake zisiingizwe. Mawakala peke yao hawawezi kusimamia UHUJUMU huu.

Kwa mtu yoyote mwenye akili timamu anajua fika ccm wanategemea kura za wizi ili kutangazwa washindi. Sababu hasa ya kusema wakala wa kituo atapewa nakala ya matokeo ni ili kulinda wizi huo. Kuna hili la tume kupeleka mawakala sehemu watakayo wao, lengo ni ili wachelewe vituoni waingize hayo mabox ya kura yenye kura ndani. Ushauri mchungu, bila kujiandaa kwa machafuko tutegemee uchaguzi wa kihuni kupita maelezo, na uhuni huo utakuwa ndiyo njia rasmi ya ccm kuendelea kukaa madarakani.
 
Mwislam yupi anaongozwa na tawi la Ponda. Hamna pengine burundi
Mimi ni muislamu na waislamu wa kweli hatuipendi BAKWATA kwa sababu ya ubadhirifu wa Mali za waislamu na kuhujumu uislam.. Hata siku moja hawazungumzii kero zetu
Ponda ni mwana harakati mkubwa ambae Mara kwa Mara amefungwa jela kwa ajili ya waislamu na uislam
Kwa kweli huyu sheikh anamvuto mkubwa kuliko sheikh yeyote wa kiislamu hapa Tanzania
Ngome iliobaki ya CCM ni Muslims lands kama Tanga Sasa Ponda anaenda kumaliza CCM huko
Takbirr
Allah Akbar
 
Back
Top Bottom