salamu! Lipumba kuendelea kuwa mwenyekiti wa cuf na mtatiro akiendelea na drama ya utekaji. Wao walitumia uhalisia eti si aljiudhulu mwenyewe, yeye prof alichukua katiba ya cuf,kalamu na karatasi,na nakala ya barua yake ya kujiudhulu. Akapambanua hoja za uhalali wa uenyekiti wake . kisha akamtupiwa msajili wa vyama siasa with fułl of arguments and attachments. Ukiwa na Elimu una nuru kubwa. sasa waende mahakamani akina mtatiro.