Algerian protesters take to streets to reject election. Voter turnout stood at 20 percent

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,402
Maelfu ya Wananchi wamejitokeza katika Mitaa ya Mji mkuu wa nchi hiyo, Algiers kupinga Uchaguzi Mkuu unaoendelea nchini humo wakiuita ni Uchaguzi wa Uongo huku ukiwa unafanyika chini ya ulinzi mkali

Kwa Mujibu wa Mamlaka Huru ya Kusimamia Uchaguzi, hadi kufikia majira ya saa Tisa Alasiri saa za Algeria, Wapiga Kura waliojitokeza kupiga kura ni asilimia 20 ya Watu wote wenye uwezo wa kupiga kura ambao ni Milioni 24

Waandamaji hao waliojitokeza kwa wingi wamekuwa wakisema maneno kadhaa yakiwemo “Hakuna Uchaguzi leo”, “Huru” na “Hakuna Kura na Mafia” huku wakipinga majaribio ya Polisi kutaka kuwatawanya

Upigaji kura unatarajiwa kufungwa ifikapo majira ya saa 18:00 GMT yaani saa tatu usiku (Saa za Afrika Mashariki) japokuwa muda huo unaweza kuongezwa. Matokeo ya awali yanatarajiwa kuanzia majira ya saa 23:00 GMT na matokeo ya mwisho yanatarajiwa siku ya Ijumaa (Kesho)

Wanaowania kumrithi Rais wa nchi hiyo aliyejiuzulu, Abdelaziz Bouteflika ni pamoja na Mawaziri Wakuu wa Zamani, Ali Benflis na Abdelamajid Tebboune; Waziri wa Zamani wa Utalii, Abdelakader Bengrina; Waziri wa Zamani wa Utamaduni, Azzedine Mihoubi na Kiongozi wa Chama cha el-Moutstakbal, Abdelaziz Belaid

8D338413-E466-4C35-9F9B-AEF2687D9D79.jpeg


Thousands of Algerians have filled the streets of the capital to denounce what they describe as a "sham" presidential election that is currently under way amid heightened security.

Anti-riot police was deployed early on Thursday to block access to Maurice Audin Square and the iconic Grand Post office in central Algiers, the epicentre of the months-long protests demanding the departure of the old guard and an overhaul of the political system.

Voter turnout stood at 20 percent at 3PM (14:00GMT), according to Algeria's independent election monitoring authority. More than 24 million people are eligible to vote.

In a tense Algiers, demonstrators chanted slogans such as "There is no vote today," Independence" and "No vote with the mafia" as they fought off attempts by security forces to disperse the crowds.

Describing the vote as a "charade", Majid Belghout, a 54-year-old architect, dismissed the election as an "attempt by the old guard to regenerate itself".

"A free election can only take place in Algeria after a democratic process. We are only at the beginning of this process," Belghout said, reiterating the protesters' demand for sweeping reforms before any meaningful vote takes place.

"We are only at the beginning of this process," he added. "It is not the time to vote, but it is moment to move to a national democratic and independent debate. This is the only way to reach a consensus on Algeria's future."

Meanwhile, footage from the port city of Bejaia purportedly showed protesters at polling stations taking ballot papers and ripping them apart.

Polls are due to close at 18:00GMT, though that could be extended. Preliminary results are expected from 23:00 GMT onwards, however, final results likely will not come until at least Friday.

Five candidates are running to replace former President Abdelaziz Bouteflika, who stepped down in April in the face of months-long protests, for a five-year term: former Prime Ministers Ali Benflis and Abdelamajid Tebboune; former Minister of Tourism Abdelakader Bengrina; former Minister of Culture Azzedine Mihoubi; and head of the el-Moutstakbal party Abdelaziz Belaid.

"Algerians today are aware that they need the massive popular legitimacy," Mihoubi told reporters after casting his ballot.

"That's why we are noticing since this morning thousands of Algerians going to polling stations, and this is the real answer to those who were doubting that this day won't realise what people hoped for.''
 
Maelfu ya Wananchi wamejitokeza katika Mitaa ya Mji mkuu wa nchi hiyo, Algiers kupinga Uchaguzi Mkuu unaoendelea nchini humo wakiuita ni Uchaguzi wa Uongo huku ukiwa unafanyika chini ya ulinzi mkali

Kwa Mujibu wa Mamlaka Huru ya Kusimamia Uchaguzi, hadi kufikia majira ya saa Tisa Alasiri saa za Algeria, Wapiga Kura waliojitokeza kupiga kura ni asilimia 20 ya Watu wote wenye uwezo wa kupiga kura ambao ni Milioni 24

Waandamaji hao waliojitokeza kwa wingi wamekuwa wakisema maneno kadhaa yakiwemo “Hakuna Uchaguzi leo”, “Huru” na “Hakuna Kura na Mafia” huku wakipinga majaribio ya Polisi kutaka kuwatawanya

Upigaji kura unatarajiwa kufungwa ifikapo majira ya saa 18:00 GMT yaani saa tatu usiku (Saa za Afrika Mashariki) japokuwa muda huo unaweza kuongezwa. Matokeo ya awali yanatarajiwa kuanzia majira ya saa 23:00 GMT na matokeo ya mwisho yanatarajiwa siku ya Ijumaa (Kesho)

Wanaowania kumrithi Rais wa nchi hiyo aliyejiuzulu, Abdelaziz Bouteflika ni pamoja na Mawaziri Wakuu wa Zamani, Ali Benflis na Abdelamajid Tebboune; Waziri wa Zamani wa Utalii, Abdelakader Bengrina; Waziri wa Zamani wa Utamaduni, Azzedine Mihoubi na Kiongozi wa Chama cha el-Moutstakbal, Abdelaziz Belaid

View attachment 1290052

Thousands of Algerians have filled the streets of the capital to denounce what they describe as a "sham" presidential election that is currently under way amid heightened security.

Anti-riot police was deployed early on Thursday to block access to Maurice Audin Square and the iconic Grand Post office in central Algiers, the epicentre of the months-long protests demanding the departure of the old guard and an overhaul of the political system.

Voter turnout stood at 20 percent at 3PM (14:00GMT), according to Algeria's independent election monitoring authority. More than 24 million people are eligible to vote.

In a tense Algiers, demonstrators chanted slogans such as "There is no vote today," Independence" and "No vote with the mafia" as they fought off attempts by security forces to disperse the crowds.

Describing the vote as a "charade", Majid Belghout, a 54-year-old architect, dismissed the election as an "attempt by the old guard to regenerate itself".

"A free election can only take place in Algeria after a democratic process. We are only at the beginning of this process," Belghout said, reiterating the protesters' demand for sweeping reforms before any meaningful vote takes place.

"We are only at the beginning of this process," he added. "It is not the time to vote, but it is moment to move to a national democratic and independent debate. This is the only way to reach a consensus on Algeria's future."

Meanwhile, footage from the port city of Bejaia purportedly showed protesters at polling stations taking ballot papers and ripping them apart.

Polls are due to close at 18:00GMT, though that could be extended. Preliminary results are expected from 23:00 GMT onwards, however, final results likely will not come until at least Friday.

Five candidates are running to replace former President Abdelaziz Bouteflika, who stepped down in April in the face of months-long protests, for a five-year term: former Prime Ministers Ali Benflis and Abdelamajid Tebboune; former Minister of Tourism Abdelakader Bengrina; former Minister of Culture Azzedine Mihoubi; and head of the el-Moutstakbal party Abdelaziz Belaid.

"Algerians today are aware that they need the massive popular legitimacy," Mihoubi told reporters after casting his ballot.

"That's why we are noticing since this morning thousands of Algerians going to polling stations, and this is the real answer to those who were doubting that this day won't realise what people hoped for.''
Aliyewaloga watawala wa afrika yuko wapi!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom