TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,191
Sikuwahi kufikilia nchi mojawapo ya ukanda wa kaskazini ku-export bidhaa nchini Tanzania, hususani bidhaa ya simu.
Leo naona simu yenye uwezo wa kasi ya 4G inayopigiwa kelele na makampuni ya mitandao nchini ikizalishwa nchini Algeria na kuanza kupokeewa kwa mikono miwili.
Bidhaa zilizoeleka kutoka PRC na kuuzwa kulingana na bei ya mlaji. Sijui kama Algeria atamuweza mchina au ndiyo zile simu za majaribio.
Tanzania tujifunze hapa hasa katika awamu hii ya kurutubisha viwanda.
Leo naona simu yenye uwezo wa kasi ya 4G inayopigiwa kelele na makampuni ya mitandao nchini ikizalishwa nchini Algeria na kuanza kupokeewa kwa mikono miwili.
Bidhaa zilizoeleka kutoka PRC na kuuzwa kulingana na bei ya mlaji. Sijui kama Algeria atamuweza mchina au ndiyo zile simu za majaribio.
Tanzania tujifunze hapa hasa katika awamu hii ya kurutubisha viwanda.