Zero
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 299
- 17
Wadau
Ukweli unabaki ukweli. Kwenye siasa kuna deal za kifisadi. Hasa ukiwa kwenye chama tawala. Hizi deal kila mtu anazitolea macho. Ikiwemo wanachama kibao humu ndani. Kwahiyo sioni cha ajabu kwa Kamanda Tiba kuvamia siasa. Najua wengi wenu humu mtaingia kwenye siasa pia, tena kwenye chama cha mafisadi. Hatujuani kwa sura tu hapa.
Ukweli unabaki ukweli. Kwenye siasa kuna deal za kifisadi. Hasa ukiwa kwenye chama tawala. Hizi deal kila mtu anazitolea macho. Ikiwemo wanachama kibao humu ndani. Kwahiyo sioni cha ajabu kwa Kamanda Tiba kuvamia siasa. Najua wengi wenu humu mtaingia kwenye siasa pia, tena kwenye chama cha mafisadi. Hatujuani kwa sura tu hapa.