mwanaizaya
Senior Member
- Apr 26, 2008
- 133
- 1
ndugu wenzangu ni hali ya kusikitisha sana inayowzukia hawa ndugu zetu albino's...imefika sasa hata watoto albino's ukiwakuta wanavuka barabarani ukawafwata kuwasaidia wanakimbia kama mwewe........
inasikitisha sana JK kutokuwa makini na hili..nimekaa nikafikiria wote ni binadamu na tuna hisia kama binadamu wote...nikasema niwaulize wenzangu
ZERUZERU AKIKUIBIA SIMU KARIAKOO UTAMKIMBIZA...IKITOKEA UNAMKIMBIZA UNAJUA MADHARA YAKE...MUNGU EPUSHIA MBALI!!!!
NAOMBA MSAADA WENU...
inasikitisha sana JK kutokuwa makini na hili..nimekaa nikafikiria wote ni binadamu na tuna hisia kama binadamu wote...nikasema niwaulize wenzangu
ZERUZERU AKIKUIBIA SIMU KARIAKOO UTAMKIMBIZA...IKITOKEA UNAMKIMBIZA UNAJUA MADHARA YAKE...MUNGU EPUSHIA MBALI!!!!
NAOMBA MSAADA WENU...