Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,035
- 23,880
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai. Vijana kama Msando wamebaini hilo na wanajitahidi kuweka misingi ya siasa safi ndani ya Chadema.
Mida Eight, kwanini unakumbatia misingi ya kilaghai? Kwanini kama umeshindwa kushirikiana na Msando kuweka misingi ya siasa safi angalau usikae kimya tu?
wewe kilaza mwambie huyo muhaini zitto atupe majina ya uswis