Albert Msando apotoka tena

Huyu kenge anataka kujipatia umaarufu kwa njia za magendo

Umaarufu unadhani utanisaidia nini Mkude? Sihitaji umaarufu hata kidogo. Mbona haukusema haya wakati nilipomtetea Mh. Mbowe; Mh. Ndesamburo; Mh. Nassari; Mh. Lema nk kwenye kesi zao?

Kwa hiyo ghafla nakuwa kenge nikitetea Kanuni na Katiba ya chama kisa tu anayehusika ni Zitto?

Naamini kwenye hukumu na adhabu kwa mujibu wa Katiba na Kanuni. Niko tayari kuadhibiwa, kutukanwa, kudharauliwa, kuonekana mjinga nk lakini Katiba na Kanuni LAZIMA ziheshimiwe na kufuatwa.
 
Tuhuma dhidi ya Zitto ni kutokana na Waraka wa Mwigamba ambao unasemekana ni Mkakati wa Ushindi wa Uchaguzi wa ndani ambao uliandaliwa kwa siri.

Mkakati huo kutokana na maudhui yake unasemekana kukashifu viongozi, kutoa tuhuma za uongo, kujenga makundi, kuchonganisha wanachama na viongozi na kutaka nafasi za uongozi bila kufuata utaratibu.

Lengo langu ni kuhakikisha taratibu tulizojiwekea zinafuatwa. Endapo ukiukaji wake unasababisha haki isitendeke na isionekana imetendeka hatuna budi kukubali kwamba tumekosea na kuchukua hatua stahiki kurekebisha.

Lazima tuaminiwe kwamba tunafuata Katiba na Kanuni zetu kama chama. Tunapokosea turekebishe. Sio dhambi kujirekebisha ukikosea. Ni ukomavu.

Ukomavu?Really?


Well,Ni ukomavu kukubali kukosea na kujirekebisha.

Je,Ulichofanya wewe binafsi kama Mwanachadema,Kama Diwani na wateja wako ni sahihi?Be honest to yourself.

Ulichofanya kama wakili ni debatable,lakini wateja wako wamevunja kanuni zaidi.Mashtaka na tuhuma zao zilistahili kujibiwa Serena kwenye Press?Unapinga kuwa utaratibu haukufuatwa kwa kuvunja tena kanuni na kukiuka taratibu?Hili hata layman wa sheria analijua.Tusubiri tuone.
 
Albert Msando, unatuvunja moyo watu tunaotamani kuwa wanasheria wakubwa hapo baadae, Sababu umebadili taaluma hii nyeti kuwa ya kichumia tumbo.
 
Albert,

Aya ya kwanza,Sijui huu upotoshaji una malengo gani.Hakuna mahali popote nilikosema anayetukosoa ni mwenzetu au si mwenzetu.

Hujajibu swali langu kuwa je,wewe kama mwanachadema halisi unayejua kanuni,maadili,itifaki na katiba ya CHADEMA unakubaliana na hizo rhetorics za vichaka vitatu?To me that's just another rhetorical hogwash.Wewe umekwepa kujibu

Pili,Utamtenganishaje Albert na wale wanaokidhalilisha chama kwenye media badala ya kufuata kanuni na taratibu?Yaani ushiriki mchezo huu moja kwa moja halafu unalaumu watu kufanya mjadala kuwa Albert na CHADEMA?

Albert,Wewe ni Msomi na unajua impact ya unachofanya katika Jamii na kama mwanasiasa unajua madhara ya unachofanya.Hao maadui zetu unawalaumu kama njia ya ku-blind watu na kutaka ku-divert attention na attitude za watu towards reality ya kile unachofanya/mnachofanya.

Hao maadui zetu wewe na wateja wako ndio mnawapa platform hii na hata hapa wanakupa sapoti na kuandika maaneno unayokubaliana nayo.Watu hao siku zote wapo huku wakiitukana CHADEMA,Pia nenda kasome magazeti ya maadui zetu uone jinsi walivyoshikilia bango haya mliyoyafanya jana pale Serena Hotel.Leo kweli unawalaumu maadui zetu?

Hebu tufikie hatua tuache unafiki.

By the way,Kulikua na haja gani ya wewe kwenda kufanya Press Conference badala ya ku-address hili ndani ya vikao?Kama wewe ni Mwanasheria wao tena kwa bahati nzuri ni Diwani,ni kiongozi na Mwanachama hai Wa CHADEMA,kwanini usifuate taratibu na hata kama ni utetezi ukaupeleka kwenye vikao?

Leo unalaumu wanaokushambulia?Hebu tuache unafiki Brother na tuweke maslahi ya taasisi juu ya urafiki.

Hebu Tuwe principled sasa!

Kanuni,maadili,utaratibu sijui nini hivyo ni vichaka vya watawala dhidi ya watawaliwa!!!!!Kutaka kukaa huko as if ni postmorteum/sorcery kwa nini usiri kama manufaa ni ya chama na na nchi kwa ujumla wake???!!!!Nini siri hapa mpaka kuitisha press iwe dhambi??!!!!Mnapigania kumkomboa Mtanzania na wakati huo hamtaki apate habari ya chama chake na viongozi???!!! Retrograde agenda????!!!!!

Ndio haya mawazo ya kuwa Bunge lisiwe live yaanza hivyo kichwani kwako!!!!!

Hogwash itajukikana tu as watu wanasoma na wana akili timamu ndio maana tunataka uwazi na ukweli ili kila hatua iwe wazi kwa umma kama mnavyoomba kura kwa uwazi!!!!!!! Liache likae wazi kadri iwezekanavyo kwa manufaa ya umma kwa upana wake hii ndio transparency na ni sehemu ya demokrasia mnayohubiri!!!!!

Hivi kweli dhamira ni Watanzania hawa?????!!!!
 
kwa tafsiri isiyo rasmi dharura ni hali ya tukio fulani lililotokea gafla bila kutegemewa! na haraka ni kitu kwenda kwa kasi/speed kubwa zaidi au isiyo ya kawaida.

Haya ni maneno ya kiswahili tu yanayowapa shida wachaga wengi kwa sababu kwao kiswahili ni second language!
dharura sio haraka.......... naomba kunukuu
 
Umaarufu unadhani utanisaidia nini Mkude? Sihitaji umaarufu hata kidogo. Mbona haukusema haya wakati nilipomtetea Mh. Mbowe; Mh. Ndesamburo; Mh. Nassari; Mh. Lema nk kwenye kesi zao?

Kwa hiyo ghafla nakuwa kenge nikitetea Kanuni na Katiba ya chama kisa tu anayehusika ni Zitto?

Naamini kwenye hukumu na adhabu kwa mujibu wa Katiba na Kanuni. Niko tayari kuadhibiwa, kutukanwa, kudharauliwa, kuonekana mjinga nk lakini Katiba na Kanuni LAZIMA ziheshimiwe na kufuatwa.

Hilo la wewe kutukanwa siungi mkono.

Lakini inachekesha sana mkuu unaposema unatetea kanuni na taratibu wakati huo huo unazivunja.Ndio strateggy hii ya watu wasomi wenye weledi?Ndio mkakati wa watu wenye akili kubwa wasiokua na taaluma za mashaka na magumashi?
 

Wewe huaminiki ni kama Zitto tu, uliaminiwa na Nyaga ukamwibia mili 60 za ujenzi wa barabara kutoka dodoma road mpaka kwenye ofisi zake licha ya kukuhudumia kama mkewe bado ulishindwa kuwa mwaminifu... ni sawa na huyo zitto kasaidiwa kwenye masomo yake na mbowe na gari la kutembelea kipindi hicho leo anamtangaza kuwa ndiye adui yake..
 
Nadhani wewe ndio unatakiwa kutiliwa mashaka uwezo wako wa kuelewa sheria maana unaonegea mambo ya kusikia pasipo kuwa na facts. Kwenye huo waraka kuna mahali popote jina la Zitto Kabwe limetajwa? Hata kama lingekuwa limetajwa kuna ushahidi kuwa alihusika kuuandaa? Leo mimi nikiandaa waraka nikaweka jina la Mbowe utalazimisha kuwa Mbowe anaufahamu? Mbona CDM wanataka watu waamini kuwa Video ya Lwakatare ni ya kutunga lakini haohao hawataki kukuli kuwa ZZK hausiki na kuandaa waraka Leta ushahidi kuwa alihusika kuandaa nasi tutakuamini.

Jaribu kuwa great thinker acha kusukumwa na chuki binafsi, mhukumu mtu basing on facts beyond reasonable doubts siyo kwa kusikia story za kwenye vijiwe vya kahawa.

:disapointed: UMEAMBIWA ZITTO HAKUFUKUZWA, BALI AMESIMAMISHWA UONGOZI, KWANI LAZIMA ZITTO KUWA KIONGOZI, SI ABAKIE MWANACHAMA MWAMINIFU HADI HAPO AKINA CCM WATAKAPOACHA KUMTUMIA KIUJUMU!!!!.
 
Kanuni,maadili,utaratibu sijui nini hivyo ni vichaka vya watawala dhidi ya watawaliwa!!!!!Kutaka kukaa huko as if ni postmorteum/sorcery kwa nini usiri kama manufaa ni ya chama na na nchi kwa ujumla wake???!!!!Nini siri hapa mpaka kuitisha press iwe dhambi??!!!!Mnapigania kumkomboa Mtanzania na wakati huo hamtaki apate habari ya chama chake na viongozi???!!! Retrograde agenda????!!!!!

Ndio haya mawazo ya kuwa Bunge lisiwe live yaanza hivyo kichwani kwako!!!!!

Hogwash itajukikana tu as watu wanasoma na wana akili timamu ndio maana tunataka uwazi na ukweli ili kila hatua iwe wazi kwa umma kama mnavyoomba kura kwa uwazi!!!!!!! Liache likae wazi kadri iwezekanavyo kwa manufaa ya umma kwa upana wake hii ndio transparency na ni sehemu ya demokrasia mnayohubiri!!!!!

Hivi kweli dhamira ni Watanzania hawa?????!!!!

Kanuni ,Maadili na hata katiba nzima ilitungwa na watu kwa ajili ya watu na ndio muongozo katika hilo unaloita uwazi.Tusipoheshimu katiba yetu wenyewe hatuwezi kuheshimu katiba ya nchi na wala miiko na maadili ya uongozi pamoja na Tunu za Taifa tunazolilia kwenye constitutional Draft

Uwazi ni Tunu muhimu ambayo itakua na muongozo kikatiba na kisheria.Uwazi sio Holela.Get it n your mind dude!
 
Albert,

Aya ya kwanza,Sijui huu upotoshaji una malengo gani.Hakuna mahali popote nilikosema anayetukosoa ni mwenzetu au si mwenzetu.

Hujajibu swali langu kuwa je,wewe kama mwanachadema halisi unayejua kanuni,maadili,itifaki na katiba ya CHADEMA unakubaliana na hizo rhetorics za vichaka vitatu?To me that's just another rhetorical hogwash.Wewe umekwepa kujibu

Pili,Utamtenganishaje Albert na wale wanaokidhalilisha chama kwenye media badala ya kufuata kanuni na taratibu?Yaani ushiriki mchezo huu moja kwa moja halafu unalaumu watu kufanya mjadala kuwa Albert na CHADEMA?

Albert,Wewe ni Msomi na unajua impact ya unachofanya katika Jamii na kama mwanasiasa unajua madhara ya unachofanya.Hao maadui zetu unawalaumu kama njia ya ku-blind watu na kutaka ku-divert attention na attitude za watu towards reality ya kile unachofanya/mnachofanya.

Hao maadui zetu wewe na wateja wako ndio mnawapa platform hii na hata hapa wanakupa sapoti na kuandika maaneno unayokubaliana nayo.Watu hao siku zote wapo huku wakiitukana CHADEMA,Pia nenda kasome magazeti ya maadui zetu uone jinsi walivyoshikilia bango haya mliyoyafanya jana pale Serena Hotel.Leo kweli unawalaumu maadui zetu?

Hebu tufikie hatua tuache unafiki.

By the way,Kulikua na haja gani ya wewe kwenda kufanya Press Conference badala ya ku-address hili ndani ya vikao?Kama wewe ni Mwanasheria wao tena kwa bahati nzuri ni Diwani,ni kiongozi na Mwanachama hai Wa CHADEMA,kwanini usifuate taratibu na hata kama ni utetezi ukaupeleka kwenye vikao?

Leo unalaumu wanaokushambulia?Hebu tuache unafiki Brother na tuweke maslahi ya taasisi juu ya urafiki.

Hebu Tuwe principled sasa!

Well noted Comrade Ben Clever.
 
Alizodoa nalo lipo kwenye kamusi ya Kiswahili...
Wanafunzi wako wanapata tabu sana.

wee nenoi KUZODOA hulijui ama hujawah kuliskia??
basi jifunze kiswahili fasaha kwa kununua kamusi ya mwaka 2011 ta tuk

wanafunzi wangu wanapata tabu ya nini??
 
Nadhani wewe ndio unatakiwa kutiliwa mashaka uwezo wako wa kuelewa sheria maana unaonegea mambo ya kusikia pasipo kuwa na facts. Kwenye huo waraka kuna mahali popote jina la Zitto Kabwe limetajwa? Hata kama lingekuwa limetajwa kuna ushahidi kuwa alihusika kuuandaa? Leo mimi nikiandaa waraka nikaweka jina la Mbowe utalazimisha kuwa Mbowe anaufahamu? Mbona CDM wanataka watu waamini kuwa Video ya Lwakatare ni ya kutunga lakini haohao hawataki kukuli kuwa ZZK hausiki na kuandaa waraka Leta ushahidi kuwa alihusika kuandaa nasi tutakuamini.

Jaribu kuwa great thinker acha kusukumwa na chuki binafsi, mhukumu mtu basing on facts beyond reasonable doubts siyo kwa kusikia story za kwenye vijiwe vya kahawa.

yaaaani wewe ndio umeonesha udhaifu zaidi huna ulijualo zaidi ya kuwa ndondocha subiri siku ziende ndipo utakapo jiona kweli wewe sufuri,chadema haijawahi kukurupuka kwa lolote lile hata cku moja hatua iliyo fikiwa na kamati kuu usifikiri walikuwa hawajui kama hilo litatokea ,subiri usiwe na presha wakati hata wewe huna ushahidi wa kuto kuhusika kwake.
 
nwa nalo ni kiswahili kazi kweli kweli...

sasa unaona jinsi9 ulivyo kuwa pimbi??
haimchukui mtu msomi kujui kwamba hapo herufi n ilikosea kuandikwa...........
sasa nakushangaa sana wewe ambaye maneno kuntu ya kiswahili huwezi kujiashua nayo.
basi kama kiswahili hujui tembelea jukwaa la lugha utanikuta huko na kila siku nina maneno mapya.

ila tu nikutoe tongotongo KUZODOA ni neno la kiswahili tena kile kisichokuwa na tashwishwi ngoman mwa maskio yako, kadhalika neno KUVUVIWA.
 
Albert,

Aya ya kwanza,Sijui huu upotoshaji una malengo gani.Hakuna mahali popote nilikosema anayetukosoa ni mwenzetu au si mwenzetu.

Hujajibu swali langu kuwa je,wewe kama mwanachadema halisi unayejua kanuni,maadili,itifaki na katiba ya CHADEMA unakubaliana na hizo rhetorics za vichaka vitatu?To me that's just another rhetorical hogwash.Wewe umekwepa kujibu

Pili,Utamtenganishaje Albert na wale wanaokidhalilisha chama kwenye media badala ya kufuata kanuni na taratibu?Yaani ushiriki mchezo huu moja kwa moja halafu unalaumu watu kufanya mjadala kuwa Albert na CHADEMA?

Albert,Wewe ni Msomi na unajua impact ya unachofanya katika Jamii na kama mwanasiasa unajua madhara ya unachofanya.Hao maadui zetu unawalaumu kama njia ya ku-blind watu na kutaka ku-divert attention na attitude za watu towards reality ya kile unachofanya/mnachofanya.

Hao maadui zetu wewe na wateja wako ndio mnawapa platform hii na hata hapa wanakupa sapoti na kuandika maaneno unayokubaliana nayo.Watu hao siku zote wapo huku wakiitukana CHADEMA,Pia nenda kasome magazeti ya maadui zetu uone jinsi walivyoshikilia bango haya mliyoyafanya jana pale Serena Hotel.Leo kweli unawalaumu maadui zetu?

Hebu tufikie hatua tuache unafiki.

By the way,Kulikua na haja gani ya wewe kwenda kufanya Press Conference badala ya ku-address hili ndani ya vikao?Kama wewe ni Mwanasheria wao tena kwa bahati nzuri ni Diwani,ni kiongozi na Mwanachama hai Wa CHADEMA,kwanini usifuate taratibu na hata kama ni utetezi ukaupeleka kwenye vikao?

Leo unalaumu wanaokushambulia?Hebu tuache unafiki Brother na tuweke maslahi ya taasisi juu ya urafiki.

Hebu Tuwe principled sasa!

'Tuwe' principled sasa. Wote. Na hapa wote unajua namaanisha nani na nani. Ni hatua gani zichukuliwe na sisi ambao tunatakiwa kuwa principled?

Nafasi yangu na yako katika hili hazitofautiani. Nini kifanyike, lini, wapi na nani?
 
Kanuni ,Maadili na hata katiba nzima ilitungwa na watu kwa ajili ya watu na ndio muongozo katika hilo unaloita uwazi.Tusipoheshimu katiba yetu wenyewe hatuwezi kuheshimu katiba ya nchi na wala miiko na maadili ya uongozi pamoja na Tunu za Taifa tunazolilia kwenye constitutional Draft

Sasa pale kaathiri nini mkuu maana taratibu na vitu kama hivyo visizuie haki ya msingi kupata habari!!!!! Kila kitu kinafanywa kwa ajili ya watu na.watu hawa ndio wamepewa taarifa sasa shida nini, ni sababu hoja haijapelekwa "vichakani" sio????!!

Watu wengi hatujui sheria sasa yeye kutoa highlights kwa uwazi shida nini????!!! Katiba itaheshimiwa vizuri baada ya watu kuijua na kaanzisha si unaona elimu inayotoka sasa kwa wadau mbali mbali hili wewe huoni linakuza uelewa wa katiba husika?????!!!

Kwani ni kweli mliteleza kimaamuzi????!!!!!

Hivi unajua hata katiba ni kichaka kikubwa sana ambacho wenye madaraka wanajifichamo na mchakato wake unajua kwa nini una mtifuano????!!!!!
 
Umaarufu unadhani utanisaidia nini Mkude? Sihitaji umaarufu hata kidogo. Mbona haukusema haya wakati nilipomtetea Mh. Mbowe; Mh. Ndesamburo; Mh. Nassari; Mh. Lema nk kwenye kesi zao?

Kwa hiyo ghafla nakuwa kenge nikitetea Kanuni na Katiba ya chama kisa tu anayehusika ni Zitto?

Naamini kwenye hukumu na adhabu kwa mujibu wa Katiba na Kanuni. Niko tayari kuadhibiwa, kutukanwa, kudharauliwa, kuonekana mjinga nk lakini Katiba na Kanuni LAZIMA ziheshimiwe na kufuatwa.

Kaka MsandoAlberto kutenda mema hapo awali si ticket ya kutenda mabaya sasa.

Hata Zitto naye huwa ana utetezi wa kitoto kabisa kama huo wako lakin bora yeye ugonjwa tunauelewa wa kupenda sifa na majivuno lakin je kwa wewe mtaaluma wa sheria kabisa ?
 
Last edited by a moderator:
Kaka MsandoAlberto kutenda mema hapo awali si ticket ya kutenda mabaya sasa.

Hata Zitto naye huwa ana utetezi wa kitoto kabisa kama huo wako lakin bora yeye ugonjwa tunauelewa wa kupenda sifa na majivuno lakin je kwa wewe mtaaluma wa sheria kabisa ?

Sheria ni facts na.kama hana.facts si atashindwa tu na wanasheria wenzake ndani ya chama sasa maneno ya nini enyi ndugu zangu!!!!!??????

Acheni sasa huu uwe mwanzo wa kumaliza hili zogo yeye haaminiki sawa; mnaowaamini huko ndani watamshinda kwa facts baaaasi!!!!!

Au akishindwa facts ndio na udiwani mta mpoka maaana sasa kama tuko mwituni! !!!!!
 
Last edited by a moderator:
Sasa pale kaathiri nini mkuu maana taratibu na vitu kama hivyo visizuie haki ya msingi kupata habari!!!!! Kila kitu kinafanywa kwa ajili ya watu na.watu hawa ndio wamepewa taarifa sasa shida nini, ni sababu hoja haijapelekwa "vichakani" sio????!!

Watu wengi hatujui sheria sasa yeye kutoa highlights kwa uwazi shida nini????!!! Katiba itaheshimiwa vizuri baada ya watu kuijua na kaanzisha si unaona elimu inayotoka sasa kwa wadau mbali mbali hili wewe huoni linakuza uelewa wa katiba husika?????!!!

Kwani ni kweli mliteleza kimaamuzi????!!!!!

Hivi unajua hata katiba ni kichaka kikubwa sana ambacho wenye madaraka wanajifichamo na mchakato wake unajua kwa nini una mtifuano????!!!!!

Kwanza,Kama katiba ni kichaka basi nina wasiwasi kama ulistahili kuishi katika jamii iliyostaarabika maana jungle law inaweza kuwa muongozo wa kukufaa zaidi


Pili,Nilimuomba Albert atoe Muongozo juu ya hili la watu kuomba kujiuzulu baada ya kelemewa na tuhuma walizoshindwa kuzijibu na badala ya kupewa ridhaa ya kujiuzulu kama walivyoomba ikatolewa alternative way ya kuwavua uongozi kutokana na kujiridhisha kuwa hawastahili heshima walioiomba (Heshima ya kukubaliwa kuwa iandikwe kuwa 'wamejiuzulu').Je utaratibu ulikiukwa wapi hapo?Tuanzie hapo.Na hili amekwepa kulijibu
 
Back
Top Bottom