dah hii bongo bwana kwa hiyo Alberto naye amekua bonge la mwanasheria na watu kupoteza muda kumjadili no wonder hadi viazi wanakua MP
Mtatuelewa Tu.....!!!
wewe ndiyo umepotoka mkuu hili la zitto kuvuliwa nafasi zake za uongozi na cc wakati zitto alipewa uongozi na halmashauri kuu?
Asante sana Mkuu@mwaikenda, sasa nyie badala ya kwenda serena nyookeni jangwani kwenye mahakama ya umma.
Zitto tupa kule!!
Mwaikenda,
1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani lakini itakuwa ajabu sana kusema kwamba kumtetea Zitto lazima nijiuzulu kwanza. Mimi sio mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu wala Mkutano Mkuu. Mgongano wa maslahi unatoka wapi? Naweza vipi kuathiri maamuzi ya vikao hivyo?
2. Je marekebisho ya Kanuni ya 2013 yalijumuisha kwamba kukiwa na dharura utaratibu uliotajwa kwenye kipengele (a) usifuatwe? Kwa nini kipengele kilichoongezwa cha (d) kilitaja utaratibu ambao hautafuatwa ni ule wa (b) na (c) peke yake? Hilo unalielezeaje?
3. Kikao cha Kamati Kuu kilikuwa kikao cha dharura? Waraka husika ulikamatwa siku hiyo hiyo ya kikao au jana yake kwa hiyo ikabidi maamuzi ya dharura yafanyike?
Kama ilikuwa ghafla hivyo kwa nini asingesimamishwa uongozi, apewe mashtaka kama Kanuni inavyosema halafu asikilizwe kwa dharura na adhabu itolewe ya kumvua uongozi? Dharura sio haraka kaka.
4. Kupewa taarifa rasmi kwa maandishi na mwenendo kupelekwa Baraza Kuu ni taratibu ambazo lazima zikamilike ili muadhibiwa aweze kukata Rufaa. Ndio maana taarifa ya nia imetolewa ili taratibu hizo zikamilike. Hakuna niliposema nataka mwenendo wa shauri. Tunachotaka ni taarifa rasmi ya maamuzi.
5. Mwenendo unatakiwa umefika Baraza Kuu ndani ya siku 14 toka tarehe 22/11/2013. Je umefikishwa?
Tusijadili kwa jazba na hasira. Mimi kueleweshwa kwa hoja ni mwepesi sana. Fanya hivyo na kama uko sahihi nitaconcede. Lakini sitaconcede kisa tu utasema akili au uelewa wangu mdogo.
Ahsante.
Huyu Msando ni mchumia tumbo anajulikana na amekuwa akitukana viongozi wa Chadema kila siku kupitia FB wall yake!
Sijui Chadema iliokota wapi mamluki hawa na kuwapatia uongozi.
dah hii bongo bwana kwa hiyo Alberto naye amekua bonge la mwanasheria na watu kupoteza muda kumjadili no wonder hadi viazi wanakua MP
not this time, not this time
too much vuvuzela, inakera
ni kama wanandoa mnaovuana nguo hadharani expecting respect from the society
seriously BEN
there is no need to take you guys serious on anything until you grow up as a party... mmekua kama timu sisyo na klabu
kutwa fyee fyee fyeeee mitandaoni
that is not leadership
Eti mtu wa CCM unamsemea Zitto.
Shame!!
Huyu Msando ni mchumia tumbo anajulikana na amekuwa akitukana viongozi wa Chadema kila siku kupitia FB wall yake!
Sijui Chadema iliokota wapi mamluki hawa na kuwapatia uongozi.
100%
chadema wamekua kama wanawake wa ngomani... full time kusutana tu
its a disgrace
Why are you taking it public kama wewe ni mwanachama na mbali ya hapo ni diwani hujui taratibu za chama kweli? Serena Hotel imekuwa sehemu ya mamlaka za chama hadi ujitokeze kila siku kwenye hadhara
Unaonekana mtoto kweli aisee
Why are you taking it public kama wewe ni mwanachama na mbali ya hapo ni diwani hujui taratibu za chama kweli? Serena Hotel imekuwa sehemu ya mamlaka za chama hadi ujitokeze kila siku kwenye hadhara
Unaonekana mtoto kweli aisee
Huyu jamaa anatumia mianya na fursa kuongeza kipato chake. Kwake yeye Zitto ni fursa ya kujipatia pesa, hana ethics wala siasa hazimuusu kivile.Huyu Msando ni mchumia tumbo anajulikana na amekuwa akitukana viongozi wa Chadema kila siku kupitia FB wall yake!
Sijui Chadema iliokota wapi mamluki hawa na kuwapatia uongozi.
Muulize Idadi ya wanawake alionao!! Siasa kavamia tuu huyu, na ndio maana yuko chadema.