Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Ustake beef na Mangwair yupo juuuuu...
MWACHENI!!!R.I.P COWIZ...
Simply Ngweir amekufa kwa overdose ya heroin...
Ningekuwa mwanafamilia ningesoma report ya postmottum pale makaburi ili vijana wajifunze...
Unafki huu ulimshinda Nelson Mandela na kuamuwa kutangaza pale makaburini kwamba mwanaye alikufa kwa ukimwi.
Jiandaneni kwa majonzi zaidi kama hawa ndio role model wenu.....
View attachment 96788
Kila alie mzuri ana mabaya yake,kila alie mbaya ana mazuri yake,tumsamehe
Labda kwanza lets find out what made him do/engage na hivyo vitu. Ila naamini mazuri yapo hata kama wewe hujayaona mkuu, kila mtu ana mapungufu yake jamani..na kazi ya kuhukumu sio yetu. simply speaking!!!!!Hii tabia ya kuwa mna msifia mtu anapo kufa tuiache MANGWEA hakuwa mtu mzuri ninaimani watu alio washawishi kuingia kwenyekundi la kutumia madawa ni wengi sana, kama tulikuwa tunampenda kwa kiasi hiki, mbona tulimuacha na hakusaidiwa kama RC?,
kwani chanzo cha kifo chake ni nini?Hakuna aliye mkamilifu mbele za Mungu. ninacho sisitiza si mtu anakufa ktk uovu badara ya kutoa onyo kwa uovuwake anaanza kusifiwa
Simply Ngweir amekufa kwa overdose ya heroin...
Ningekuwa mwanafamilia ningesoma report ya postmottum pale makaburi ili vijana wajifunze...
Unafki huu ulimshinda Nelson Mandela na kuamuwa kutangaza pale makaburini kwamba mwanaye alikufa kwa ukimwi.
Jiandaneni kwa majonzi zaidi kama hawa ndio role model wenu.....
View attachment 96788
Eti bana. kwa kua mtu ana umashuhuri fulani kama kuimba na kuonekana kwenye tv, hata kama ana tabia chafu namna gani tunagombea kujitambulisha naye na kumsifu siku mauti ikimkuta. Hii kama sio unafiki ni nini?Kwani rc tulimsaidia wote ama alisaidiwa na kaka mkuu? Huu ujumbe ni wa kaka mkuu. Haendi kwenye misiba ya maprofesa anaenda kumzika kanumba. Kwanza sijui kwa nini hakwenda kumzika ngwear
Na ningemshangaa angekwenda kuzika wahuni akaacha kazi yake ya safari zisizo na mwisho wala maslahi. Tusikengeuke tukawa kama wazungu, kwa akili kama hizi ndio leo tuna Sir Elton John ambaye ni mke wa mtu. Naye akifa, mtataka heshima kwake
kwani chanzo cha kifo chake ni nini?
Ustake beef na Mangwair yupo juuuuu...
MWACHENI!!!R.I.P COWIZ...