Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,678
- 106,786
Kwani sisi Tz tunashwnda wap hadi tusiweze? Tufanyaje ili iwezekane?Kwa Tanganyika mpaka kuweza Kuwa back Technology hii sidhani tuna vitu vingi Sana vya kufanya kuliko kujiingiza kwenye matatizo haya name kwa uzembe WA watu weusi sidhani Kama tunaitaji technology hii japo kwa sasa ni muhimu sana hasa kwa mambo ya source of energy
Nishati pekee ambayo dunia inategemea yani Mafuta na Gas inakwenda kuisha pia ni gharama sana kuendesha nishati hizo mpaka sasa 17% ya umeme duniani unazalishwa kwa nishati ya Nuclear huku Ufaransa 75% ya umeme wanaotumia niwanishati ya Nuclear Duniani kuna Nuclear reactor 440 ambazo zinazalisha umeme wa 390,000 megawatts (MWe) katika nchi 31 pia kuna Nuclear reactor 60 zinajengwa maeneo mbalimbali duniani na zingine 160 zinatarajiwa kujengwa so unaweza kuona matumizi ya Nuclear kuzalisha nishati yakizidi kuenea Duniani pia kuna reactor ndogo ndogo 200 zinazooperate kwenye meli na submarine 150
Nuclear reactor yenye 508 MW capacity ndani ya saa 24 inaweza kuzalisha umeme wa 12,192 megawatthours (MWh) pia kutengeneza bomu la Nuclear ni process kubwa sana si kumiliki kinu cha umeme cha nuclear ukaweza kutengeneza bomu, kwani zipo Uranium za aina mbili yani Uranium-238 (U-238) na uranium-235 (U-235) sasa maajabu ni kuwa Uranium-238 (U-238) ndio nying sana duniani karibu 99.3% huku Uranium 235 (U-235) ambayo ndio unaweza kutengenezea bomu la Nuclear ni 0.7% ya hifadhi yote duniani toka mwaka 1789 bwana Martin Klaproth mwanasanyansi wa Kijerumani alipogundua madini ya Uranium na mpaka uweze kutengeneza Bomu moja la Nuclear unaitaji kuwa na 50KG za Uranium 235(U-235) hili kuweza kukamilisha chain reaction kitu ambacho ni kigumu sana na inachukua miaka mingi sana
Cc
Palantir