Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,955
Ni dhahiri kuwa Huyu Ndugu ana matatizo. Kipindi Cha Mzee Magu alituambia Rais ni mzima hana shida yeyote na anawasalimia Watanzania
Kumbe yuko kwenye Friji ana siku ya nne
Jana anasema zoezi la uokoaji liko under control na anawasiliana na Rubani Kumbe Rubani alishavuta saa nyingi.
Mama Samia unambeba huyu Ndugu ila ukweli ni kwamba habebeki ana matatizo binafsi .
Hapimi maneno yake kabla hajaongea. Na ni hatari kwa Kiongozi kama huyu kwenye usalama wa nchi.
Kumbe yuko kwenye Friji ana siku ya nne
Jana anasema zoezi la uokoaji liko under control na anawasiliana na Rubani Kumbe Rubani alishavuta saa nyingi.
Mama Samia unambeba huyu Ndugu ila ukweli ni kwamba habebeki ana matatizo binafsi .
Hapimi maneno yake kabla hajaongea. Na ni hatari kwa Kiongozi kama huyu kwenye usalama wa nchi.