Katalama
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 854
- 1,474
Ndani ya earphones mzee!Kitu cha PowerAmp,muziki mzito
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Ndani ya earphones mzee!Kitu cha PowerAmp,muziki mzito
Kuna ya LTG ya Fireboy weweHahah mzee umeisikiliza after hours ya the weekend ?
Huyu mtu anasubiria Grammy yake tuu maana mpaka sasa hana mpinzani kwenye album kali
Yaaani huyo Fireboy umlinganishe na abel tsefaye a.k.a the weeknd !Kuna ya LTG ya Fireboy wewe
Yani huyu jamaa anaenda kuweka historia kubwa sana hapa Barani Afrika.
Mimi pia nimekuja kuona hivyo..The African Giant ndo kali kwa upande wangu na ilideserve kushinda last year.Sio kali kivile, sema hizi tuzo zina mambo yake
Mama yangu anayejua hili ni Mungu mwenyewe,Mkuu una macho ya rohoni...yametimia
Waimba Matusi Ndio Wanaookota mkwanja mrefu Kwa Sasa, Jamii Imehamua Kupokea Matusi Kuwa Sehemu ya Maisha YaoUkiona jamii inang'ang'ana kumdhihaki msanii mwenye uwezo mkubwa kama Lady Jay Dee "Komando" kwa kumlinganisha na mtoto kama Zuchu basi fahamu kwamba kuna tatizo pahala (Like Seriously!!!) . Shida ni kwamba tunachanganya kati ya umaarufu na kipaji na hata hao watangazaji wa burudani wenye dhamana ya kukuza muziki wetu huko redioni hawajui kabisa muziki. Nakumbuka Burna Boy anavyoanza miaka hiyo kuna mtangazaji wa redio kubwa alisema hamuelewi kabisa jamaa, niliishia kusikitika tu.
Burna boy kila siku anakomaa na anajifunza sana, walimu wake wa muziki (Mentors) ni Femi Kuti na Angelique Kidjo sasa mtu kama huyu akifikisha One Billion Streams utashangaa kweli ??? Ukweli ni kwamba muziki ni kama taaluma nyingine na inahitaji kukaa chini na kujifunza kila siku, kitu ambacho watanzania wengi hatutaki kabisa kukisikia (Sauti Sol wanajitahidi sana kwenye hili). Tunaweza kupata Views nyingi You-Tube lakini tusiweze kuacha alama yoyote ile kwenye tasnia ya muziki hapa barani Afrika.
Mkuu Watu wanataka pesa sio legacyWatu wakutusaidia kututoa ktk huo mkwamo tunao(P Funky &Master Jay no) ila wasanii hawataki kuwatumia sababu wanaogopa gharama.
Asikudanganye mtu Wanaija wamewekeza hela nyingi sana kwenye mziki wao,kuanzia promotion mpaka production na mshika dau anaheshimu uweledi wa mwenzake.
Hapa Tanzania msanii anaongea kabisa na kumjibu shit producer "...bila mimi wewe usingekuwa producer mkubwa......",hii kauli ni ya dharau.
Endelea kucheza singeli na nyimbo za "Inama nichome mjegejo" "penzi Kama kachori "Sio kali kivile, sema hizi tuzo zina mambo yake
Ok inama basi nichomekeEndelea kucheza singeli na nyimbo za "Inama nichome mjegejo" "penzi Kama kachori "
Hizi level ziko juu yako