Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,106
- 37,641
kwa wale wenzangu na mimi, fanya chochote kati ya haya Ijumaa ya keshokutwa, ila usithubutu kuangalia "Tv zao"
- Ijumaa Alasir mazoezi ya Yanga, yataendelea pale uwanja wa LOYOLA, Mabibo!
- Ijumaa Alasir mazoezi ya Simba, yatakuwa UWANJA WA BOKO VETERAN!
- Ijumaa Alasir msikose kuja kuangalia kombe la Mbuzi, Uwanja wa Makurumla!
- Ijumaa Alasir Kinesi kama kawa, kuna game tamu sana!
- Ijumaa Alasir mazoezi kama kawaida pale Vingunguti uwanja wa Fc Cologne kwa kina Shaban Kisiga "Marlone"
- Ijumaa Alasir LEADERS hakutakuwa na Twanga
- Ijumaa Alasir naomba mje hapa, ntakuwa nasimulia bonge la love story
- Ijumaa Alasiri hatutakata umeme, ndio siku nzuri ya kuongezea idadi ya siku za extra duty
- Ijumaa Alasir tembelea Sewa Haji, Kibasila, Mwaisela, Amana, Temeke yaani Hosp yoyote ya jirani na wewe!
- Ijumaa Alasir kuna kipindi cha taarabu, nimesahau channel, nitawaambia baadae!
- Ijumaa Alasir chukua familia yako mkawatembelee wale mliowamiss!
- Ijumaa Alasir piga zako usingizi!