Mrembo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2008
- 414
- 210
habari za jioni wanajanvi.
jamani mimi ni mhanga wa huu wizi wa magari unaoendelea jijini. yani katika miezi mitatu nimeshabomolewa gari yangu mara mbili na kuibiwa power window, head rest, side mirrors etc.
sasa mimi nimechoshwa na kuuziwa vifaa vyangu vilevile vilivyoibiwa tena kwa gharama kubwa.
sasa basi... naomba kama kuna mtu anajua alarm nzuri za kufaa hapa mjini. maana nimeambiwa kuna alarm jamaa wanaweza kuzitegua, so hazisaidii kivile.
na pi nitashukuru kama nitajulishwa zinapatikana wapi?
asanteni na ninawatakia jioni njema.
jamani mimi ni mhanga wa huu wizi wa magari unaoendelea jijini. yani katika miezi mitatu nimeshabomolewa gari yangu mara mbili na kuibiwa power window, head rest, side mirrors etc.
sasa mimi nimechoshwa na kuuziwa vifaa vyangu vilevile vilivyoibiwa tena kwa gharama kubwa.
sasa basi... naomba kama kuna mtu anajua alarm nzuri za kufaa hapa mjini. maana nimeambiwa kuna alarm jamaa wanaweza kuzitegua, so hazisaidii kivile.
na pi nitashukuru kama nitajulishwa zinapatikana wapi?
asanteni na ninawatakia jioni njema.