njia ya saada
JF-Expert Member
- Sep 3, 2018
- 322
- 250

1. Ni usiku ambao hauna joto wala baridi kali.
Kutoka kwa Jaabir ibn Abdillahi t Anasema: Amesema Mtume (saw): (Nilikuwa nimeoneshwa Lailatu Al-qadr, kisha nikasahaulishwa, nayo iko katika nyakati za usiku wa kumi la mwisho, nao ni usiku wenye bashasha [ Twalqat: ikiwa hakuna joto wala baridi ya kuudhi] unang’ara [ Baljah: yenyekung’ara] usio na joto wala baridi) [ Imepokewa na Ibnu Khuzeymah].
saumu-Lailatu Al-qadr (Usiku wa cheo)- Al-feqh