Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,510
- 23,722
kama huamini angalia liverpool wameshinda 3 wapinzani wao 1. simba 3 wapinzani wao 1 , manchester united 3 wapinzania wao 1. yanga kama wangetaka ushind leo wangeomba simba wavae rang nyingine wao wavae rang nyekundu. hii ni kitaalamu sana. nyie wengine hamwezi kuelewa, tar 21 inagawanyika kwa 3 na mwezi wa 12 unagawanyika kwa 3. mwaka unaishia na 13 ambayo inagawanyika kwa moja na hilo ndo bao walilopata wapinzan wa REDS.
kama ulikuwa pia unafukuzia msichan kwa siku ya leo wahi kavae rangi nyekundu halaf mtafute. utampata na kufanikiwa kupiga 3 yeye akipiga 1. huu ni utabiri wa namba kama utapenda kufahamu zaidi hasa kwa siku ya kesho usisite kuni inbox. ntakufundisha hesabu zake ni bure tu.
kama ulikuwa pia unafukuzia msichan kwa siku ya leo wahi kavae rangi nyekundu halaf mtafute. utampata na kufanikiwa kupiga 3 yeye akipiga 1. huu ni utabiri wa namba kama utapenda kufahamu zaidi hasa kwa siku ya kesho usisite kuni inbox. ntakufundisha hesabu zake ni bure tu.